Nakupenda sana katoto Kazuri, Zero Niko hoi taabani

Nakupenda sana katoto Kazuri, Zero Niko hoi taabani

Mkuu nimejiuliza maswali mengi japo umeelezea vizuri hisia zako kwake
1.pm haupajui?
2.umeshindwa kumwambia ( domo zege)
3.umefanyaje kuzijua hizo tabia zake
4.umempenda au umemtamani
5. Unauhakika kuwa hajaolewa
6. Je? Ukikuta in mmojawapo ya ndugu zako mnaoheshimiana eg.mama yako, dada, shangazi,nk utafanyaje
Nk...

Any way katoto kazuri ukuje huku unatafutwa na mkaanga chips
Humu chit chat mzee baba....watu wanafanya mambo tu mda usongee usiwe serious sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom