Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
sasa unakasirikia mimi kuombwa na wananchi kutetea kiti au hutaki nami niinjoy na waungwana humu Jukwaani 🀣

jitahidi uwe na kifua kipana kuna siku utakua kiongozi utaulizwa swali la hovyo na mwananchi utampiga rungu na utapata shida bure πŸ’

Jitahidi kuwa na strong imotional stability achana na muhemko πŸ’

hata na hivyo bado haizuui mimi kuchapa kazi ya wanainchi, ntang'ang'ana nayo na kuifanya kwa bidii sana πŸ’
 
Hivi kwa uharo huu wote jukwaani unakuwaga mbunge?

Salaalee
uvivu unachochea muhemko πŸ’

mie nifanyeje wananchi wamechagua ulichobwabwaja, na mie na chapa kazi tu bila mbambamba yeyote bana πŸ’
 
Wananchi wako wanateseka kwa kukosa umeme we unakuna pumbu tu bungeni.Subirini muda wenu unakaribia this time hakuna wizi labda kwa mkulu tu.Nyie wengine mtajua hamjui.
 
Wananchi wako wanateseka kwa kukosa umeme we unakuna pumbu tu bungeni.Subirini muda wenu unakaribia this time hakuna wizi labda kwa mkulu tu.Nyie wengine mtajua hamjui.
huna haja ya kuporomosha lugha isiyo na staha πŸ’

uchaguzi wa 2024-25 uko huru, wazi na wa haki. Ni vizur kwa wakati muafaka wanasiasa na wananchi kutumia lugha za staha na za kistaarabu katika kuwasiliana πŸ’

Mimi niko tayar kuwatumikia wananchi kwa mara nyingi tena nadhani ya3πŸ’

huna haja kukasirika nikiwashinda kwa kishindo πŸ’
 
Labda mashoga wenzako ndiyo wamekuomba upeperushe bendera yenu.

Watu kama wewe ni wakupigwa vitasa, shenzi waheed.
 
Labda mashoga wenzako ndiyo wamekuomba upeperushe bendera yenu.

Watu kama wewe ni wakupigwa vitasa, shenzi waheed.
Aina za wananchi wanaofanana na wew wapo wengi majimboni pia na hamna namna ya kuwakwepa kwasabb malezi, ulevi wa visungura na hali ngumu ya maisha, huwafanya kuwa na hasira sana huchochea hali hiyo mathalani ulioyonayo, ndio wananchi sasa tunakwendra nao hivyo hivyo tu πŸ’

Hata hivyo hiyo bado haizuui kutekeleza majukumu yetu ya kibunge maeneo yote jimboni kwa Ari zaid, kasi zaid na nguvu zaid πŸ’
 
Wewe ni zuzu.

Vitu unaandika ni akili za kinjani nyani.

Jiandae kuvutwa mkia leo.
 
Hongera Sana, kuwaza tu kuwa mbunge ni hatua, wengi wetu tunafikiri hawa viongozi wana upekee saaana! Hawatoki sayari ya Mars, vijana tukamate nafasi! Tuache kulalamika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…