Yah onesheni ubinadamu kidogo hata nchi itapata maendeleo kidogo kuliko Hali ilivyo sasa.
Kati ya watumishi laki saba ni watumishi 2000+ tu ndio wanakula vizuri keki ya Taifa Huku wengine wakiishi Kwa mateso makubwa na hali duni.
HII NI HATARI HATA KWA USALAMA WA TAIFA.