[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimejikuta nacheka kwa sauti [emoji1787][emoji1787]Mimi mwaka wa 7 huu natafuta sipati! Aisee bora ujaribu tu upande mwingine. Mfano facebook huko. Wanawake wa humu wanapenda kuolewa na matajiri tu.
Ila siyo mwalimu kama wewe, mlinzi wa Halmashauri kama mimi, mganga wa kienyeji kama Mshana Jr, Msanii uchwara wa muziki na anaye lazimisha kuimba kama Civilian Coin, nk.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi mwaka wa 7 huu natafuta sipati! Aisee bora ujaribu tu upande mwingine. Mfano facebook huko. Wanawake wa humu wanapenda kuolewa na matajiri tu.
Ila siyo mwalimu kama wewe, mlinzi wa Halmashauri kama mimi, mganga wa kienyeji kama Mshana Jr, Msanii uchwara wa muziki na anaye lazimisha kuimba kama Civilian Coin, nk.
Mzee mwenzangu umeupiga mwingi.Achana nae asikukatishe tamaa, wanawake wema popote pale wapo, mimi nimepata mke humu, narudia tena NIMEPATA MKE HUMU, sio masihara wala kufurahisha baraza, mimi mke wangu NIMEMPATIA HUMU.
You're right!Kesi ipo
Mwandishi gani hujui hata kuandika fani yako kwa usahihi ?
Nakuzoom👀👀Acha dharau ujue.. Mie nimekula chumvi nyingi, hamna hamna nishakula viroba vya chumvi kama milioni hivi, we hata viroba elfu hujafikisha[emoji23][emoji1787]
Zoom vizuuuri, upate kitu chenyewe kabisa [emoji12][emoji12]Nakuzoom[emoji102][emoji102]
[emoji12][emoji12]
Mpaka unamwagika!!Mzee mwenzangu umeupiga mwingi.
🤣🤣🤣 makaveli10Zoom vizuuuri, upate kitu chenyewe kabisa [emoji12][emoji12]
Ujue wewe ni miyeyusho saaana. [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makaveli10
Mimi ni kibibi financial services 😀😀😀😀 eti wewe ni mnani vile
Tageti zangu ni kupata angalu awe na 40 na kuendelea huko…ambae anajielewa.
🤣🤣miyeyusho pro maxUjue wewe ni miyeyusho saaana. [emoji23]
Acha basi mambo yako…Mimi ni kibibi financial services 😀
Ukiniona jiandae kutoa ile shikamoo bibi 😂Acha basi mambo yako…
Natamani kukufahamu financial services
Sitegemei kukusalimia kabisa FS.ila kama uko na 45 yes naweza kukufikiria.Ukiniona jiandae kutoa ile shikamoo bibi 😂
I wish to know you too dear, sijawahi kufahamiana na wadada wa humu jamani🤔
We mkubwa ujue. [emoji23][emoji1787][emoji1787]miyeyusho pro max
Amen.Kila la kheri mkuu
Tutaplan dear, unaishi mjini Daslam ama? Mimi nipo Sumbawanga huku😜Sitegemei kukusalimia kabisa FS.ila kama uko na 45 yes naweza kukufikiria.
Tufanye namna ya kuonana…utakuwa ni mwanamke wa kwanza wa jf kufahamiana nae🥰🥰🥰
🤣🤣ni kweliWe mkubwa ujue. [emoji23]