Nakutafuta 'Mke Mwema'

Tutaplan dear, unaishi mjini Daslam ama? Mimi nipo Sumbawanga huku😜
Mbona sumbawanga jamani tena🤣🤣

Dar niko muda kidogo sna nakujaga mara chache tu…

Ninampango wa kuhamia Mwanza dear.

Cha msingi mawasiliano kipenzi…naweza kupanga siku moja kuja kukutembelea huwezi jua..

Navutiwa sana kukufahamu muda mrefu sana.

Nakucheki PM ASAP
 

Mkuu hebu kuwa serious, hapo Moshi kuna Ma-Wife material kibao.
 
Kwenye heshima apo itategemea wallet yako ikoje bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…