Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽

Ninakuelewa na ninaona ni kwa nini hii hali inaweza kukutia wasiwasi na kuwa ngumu kwako. Kufanya maamuzi kuhusu kuingia tena katika ndoa, hasa baada ya kupitia changamoto kubwa katika ndoa ya awali, si jambo rahisi. Unaweza kufanya yafuatayo kukusaidia kufikia maamuzi yenye afya na yenye kujenga kwa mustakabali wako na wa familia yako:

Pata Muda wa Kutosha wa Kuponya na Kuelewa Yaliyopita: Kabla ya kufikiria kuingia katika uhusiano mpya, ni muhimu kuhakikisha kwamba umepata muda wa kutosha wa kuponya majeraha yaliyotokana na ndoa yako ya awali. Pia, jaribu kuelewa kwa kina kilichosababisha ndoa hiyo isifanikiwe ili kuepuka kurudia makosa yaleyale.

Usikimbilie Maamuzi: Jipe muda wa kufikiri na kutafakari kwa kina kuhusu uamuzi wako wa kuingia tena katika ndoa. Usijihisi unalazimika kufanya maamuzi haraka kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa wengine au hata mchumba wako mpya.

Mawasiliano na Uwazi na Mchumba Wako: Ni muhimu sana kujenga mawasiliano ya wazi na ya dhati na mchumba wako kuhusu hofu na wasiwasi wako. Kujenga msingi imara wa mawasiliano kutawasaidia nyote wawili kuelewa matarajio na mipaka ya kila mmoja.

Fanya Uchunguzi wa Pamoja na Ndugu: Kwa kuwa una wasiwasi kuhusu uhusiano na ndugu wa mume, ni vyema kufanya jitihada za pamoja na mchumba wako kujenga uhusiano mwema na familia yake. Hii itasaidia kujenga mazingira ya uelewano na kuepuka migogoro ya baadaye.

Tafuta Ushauri wa Kitaalamu: Inaweza kuwa na manufaa makubwa kuzungumza na mshauri au mtaalamu wa mahusiano ambaye anaweza kukupa mwongozo na msaada wa kitaalamu. Hii itakusaidia kuelewa hofu zako na kujifunza mbinu za kujenga mahusiano yenye afya na yenye furaha.

Fikiria Kuhusu Watoto Wako: Katika kufanya maamuzi yako, ni muhimu kuzingatia ustawi na hisia za watoto wako. Fikiria ni mazingira gani yatakuwa bora zaidi kwa ustawi wao wa kimwili na kihisia.

Sikiliza Moyo Wako: Mwisho, lakini si kwa umuhimu, sikiliza sauti ya moyo wako. Kama una hisia nzuri kuhusu uhusiano huu mpya na unaona kuna nafasi ya kujenga maisha yenye furaha na yenye kujenga pamoja, basi huenda ikawa ni jambo la kufikiria.
 
wala hata usichelewa kupokea baraka hiyo Takatifu ya ndoa ikiwa umeiomba kwa muda mrefu.

Na bilashaka,
ndani ya maombi yako, ulimlilia Mungu sana, na ulifungua maskio ya Moyo wako ukaskia maelekezo na wito wa Mungu kwamba huyu hapa ubavu wako 🐒

usiogope,
Kwa Neema na Baraka za Mungu ingia kwenye ndoa ukiwa na amani na imani kwamba mengine Mungu atakuonyesha ukiwa ndani na atakufanyia wepesi na kuonyesha njia na nuru palipo na giza 🐒

Mpendane msichokozane, amani ya bwana iwe ndani yenu...
Niwe mkweli sijawahi mwomba Mungu juu ya hili maana naiogopa ndoa....ndiyo shida mkuu.Asante
 
Kama ukiamua kuwalea watoto wako na ukawa muaminifu usifanye uzinzi maisha yako yote basi usiolewe

Lakini kama unaona hutoweza kukaa bila kuwa na hamu ya tendo basi muombe Mungu akupe mtu sahihi ambaye hatakuwa kama wa kwanza atakayekupenda na kukujali then mfunge ndoa
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
A long as mnafanya tendo, hapo ushaolewa tiyari.

Maamuzi ni yako ya kwamba ufanye tendo na mwanamme mmoja au wengi.

Tatizo lenu mmeaminishwa kwamba kuolewa ni mpaka mfanye sherehe.
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Me naona ingia tuu, maybe ths time upo kwenye right truck!!
Una experience, na naamini mpaka sasa atlst umeshamjua yeye na ndugu zake japo Kidogo.
 
Ninakuelewa na ninaona ni kwa nini hii hali inaweza kukutia wasiwasi na kuwa ngumu kwako. Kufanya maamuzi kuhusu kuingia tena katika ndoa, hasa baada ya kupitia changamoto kubwa katika ndoa ya awali, si jambo rahisi. Unaweza kufanya yafuatayo kukusaidia kufikia maamuzi yenye afya na yenye kujenga kwa mustakabali wako na wa familia yako:

Pata Muda wa Kutosha wa Kuponya na Kuelewa Yaliyopita: Kabla ya kufikiria kuingia katika uhusiano mpya, ni muhimu kuhakikisha kwamba umepata muda wa kutosha wa kuponya majeraha yaliyotokana na ndoa yako ya awali. Pia, jaribu kuelewa kwa kina kilichosababisha ndoa hiyo isifanikiwe ili kuepuka kurudia makosa yaleyale.

Usikimbilie Maamuzi: Jipe muda wa kufikiri na kutafakari kwa kina kuhusu uamuzi wako wa kuingia tena katika ndoa. Usijihisi unalazimika kufanya maamuzi haraka kwa sababu ya shinikizo kutoka kwa wengine au hata mchumba wako mpya.

Mawasiliano na Uwazi na Mchumba Wako: Ni muhimu sana kujenga mawasiliano ya wazi na ya dhati na mchumba wako kuhusu hofu na wasiwasi wako. Kujenga msingi imara wa mawasiliano kutawasaidia nyote wawili kuelewa matarajio na mipaka ya kila mmoja.

Fanya Uchunguzi wa Pamoja na Ndugu: Kwa kuwa una wasiwasi kuhusu uhusiano na ndugu wa mume, ni vyema kufanya jitihada za pamoja na mchumba wako kujenga uhusiano mwema na familia yake. Hii itasaidia kujenga mazingira ya uelewano na kuepuka migogoro ya baadaye.

Tafuta Ushauri wa Kitaalamu: Inaweza kuwa na manufaa makubwa kuzungumza na mshauri au mtaalamu wa mahusiano ambaye anaweza kukupa mwongozo na msaada wa kitaalamu. Hii itakusaidia kuelewa hofu zako na kujifunza mbinu za kujenga mahusiano yenye afya na yenye furaha.

Fikiria Kuhusu Watoto Wako: Katika kufanya maamuzi yako, ni muhimu kuzingatia ustawi na hisia za watoto wako. Fikiria ni mazingira gani yatakuwa bora zaidi kwa ustawi wao wa kimwili na kihisia.

Sikiliza Moyo Wako: Mwisho, lakini si kwa umuhimu, sikiliza sauti ya moyo wako. Kama una hisia nzuri kuhusu uhusiano huu mpya na unaona kuna nafasi ya kujenga maisha yenye furaha na yenye kujenga pamoja, basi huenda ikawa ni jambo la kufikiria.
Barikiwa sana mkuu,asante sana 🙏🏽
 
Kama ukiamua kuwalea watoto wako na ukawa muaminifu usifanye uzinzi maisha yako yote basi usiolewe

Lakini kama unaona hutoweza kukaa bila kuwa na hamu ya tendo basi muombe Mungu akupe mtu sahihi ambaye hatakuwa kama wa kwanza atakayekupenda na kukujali then mfunge ndoa
Shida ndiyo hapa maana sex naipenda mkuu😒
 
Pole sana kwa huo mtihani Miss To yeye , Maamuzi utakayochukua ndio yatakayoamua hatima ya maisha yako kwa kiasi Fulani. Ushauri wa humu JamiiForums inawezekana ukawa ni wa manufaa na ukakusaidia lakini Mimi nilikuwa nakushauri tafuta watu ambao ni Wakubwa wako wenye busara zao waambie hili jambo nadhani watakupa ushauri wenye afya. Humu JamiiForums wengi wao kwa Sasa hawana experience na mambo ya ndoa na mahusiano. Kila la kheri rafiki yangu. Mungu akitangulie ukafanye jambo litakalokubalika mbele ya ndugu zako na mbele ya ndugu za Mtarajiwa wako.
 
I know there's something in the wake of your smile.
I get a notion from the look in your eyes, yea.
You've built a love but that love falls apart.
Your little piece of heaven turns too dark.

Listen to your heart
When he's calling for you.
Listen to your heart
There's nothing else you can do.
I don't know where you're going
And I don't know why,
But listen to your heart
Before you tell him goodbye.

Sometimes you wonder if this fight is worthwhile.
The precious moments are all lost in the tide, yea.
They're swept away and nothing is what it seems,
The feeling of belonging to your dreams.

Listen to your heart
When he's calling for you.
Listen to your heart
There's nothing else you can do.
I don't know where you're going
And I don't know why,
But listen to your heart
Before you tell him goodbye.

And there are voices
That want to be heard.
So much to mention
But you can't find the words.
The scent of magic,
The beauty that's been
When love was wilder than the wind.

Listen to your heart
Take a listen
When he's calling for you
Listen to your heart
Take a listen
There's nothing else you can do.
I don't know where you're going
And I don't know why,
But listen to your heart
Before

Listen to your heart
Take a listen
When he's calling for you
Listen to your heart
Take a listen
There's nothing else you can do.
I don't know where you're going
And I don't know why,
But listen to your heart
Before you tell him goodbye.

Listen to your heart
[Repeat until the end]

Take a listen to your heart
Take a
Take a listen to your heart
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu[emoji24]

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu[emoji1431]
Olewa nae lakin sio haraka haraka chunguzaneni kwanza hasa hasa tabia yake soma ili uwe na uhakika kuwa unaenda kuolewa na mtu sahihi

Note:asilimia kubwa wanaume huwa hawapendi watoto wa mwanaume mwingine kinachofanyikaga ni maigizo tu! Kuwa karibu sana na watoto wako, wapende, watimizie kila kitu wewe ndo tegemeo lao kwa asilimia 100
 
Pole sana kwa huo mtihani Miss To yeye , Maamuzi utakayochukua ndio yatakayoamua hatima ya maisha yako kwa kiasi Fulani. Ushauri wa humu JamiiForums inawezekana ukawa ni wa manufaa na ukakusaidia lakini Mimi nilikuwa nakushauri tafuta watu ambao ni Wakubwa wako wenye busara zao waambie hili jambo nadhani watakupa ushauri wenye afya. Humu JamiiForums wengi wao kwa Sasa hawana experience na mambo ya ndoa na mahusiano. Kila la kheri rafiki yangu. Mungu akitangulie ukafanye jambo litakalokubalika mbele ya ndugu zako na mbele ya ndugu za Mtarajiwa wako.
Barikiwa sana mkuu..asante sana bro
 
Olewa nae lakin sio haraka haraka chunguzaneni kwanza hasa hasa tabia yake soma ili uwe na uhakika kuwa unaenda kuolewa na mtu sahihi

Note:asilimia kubwa wanaume huwa hawapendi watoto wa mwanaume mwingine kinachofanyikaga ni maigizo tu! Kuwa karibu sana na watoto wako, wapende, watimizie kila kitu wewe ndo tegemeo lao kwa asilimia 100
Asante sana mkuu🙏🏽
 
Mkuu,
Kwanza ukiona mwanaume amekua serious kutaka kukuoa KE ukiwa ni singo mother, tena wa watoto 2 jione mwny bahati Sana na umependwa Sana.

Na usidhan jamaa kakurupuka,
Kuna kitu cha ziada kakiona kwako ambacho hajakiona kwa single ladies au singo mothers wengine mitaani.

Fanya maamuz haraka ya ndoa kabla shetan hajatia doa penzi lenu
 
Niwe mkweli sijawahi mwomba Mungu juu ya hili maana naiogopa ndoa....ndiyo shida mkuu.Asante
Basi ni zawadi na Neema ya kipekee sana kutoka kwa Mungu 🐒

hata hivyo ikiwa huyo mtu mume ni 40au above40 utainjoy zaid,coz hana matata tena matata yaliisha kitambo 🐒

ukishikwa shikilia vizuri maisha yanaenda resi sana...
 
Kwahiyo kuna kipindi utakua unaenda kuwatembelea, bibie sisi wanaume tuna wivu japo hatujui kuonyesha haraka haraka, ila ingia ndo utaona true colours za mwanaume, na kugundua hao watoto ni kikwanzo hapo mbeleni.
Yah! ila watu wanatofautiana Kuna wengine wanapenda kweli hawajali mengine wakipenda mtu.

Mimi nimewahi kushuhudia mwanaume alimpenda mtu ambaye tayari ana ujauzito na huyo mwanaume alianza kumpenda tayari akiwa na ujauzito wa mwanaume mwengine ila akakubali kumuoa huyo mwanamke na mtoto akamfanya kuwa wake.
 
Back
Top Bottom