Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Nakuzimikia sana MBITIYAZA

PAMPULA.... I'm still researching what does it really mean.

Neybright nilikuomba mno unionyeshe PAMPULA perfume lakini umezingua.

Anyone to volunteer please?
Sasa ndugu yangu sinilikwambia uwe na subira nikinunua nikutumie picha ili ukaitafute,
Siwezi acha kukuonyesha pampula perfume coz is the best perfume in the world [emoji125]
 
Pacha kuna mtu anasema wewe ni single maza..kuja huku umepata mume. The waiting is over!
** MBITIYAZA


shoga hatimaye vilio vyetu vimeanza kusikika sasa !khaaa hatutongozwi na watu ndo hawa sasa! sasa demi na group yetu mniandalie shughuli jaman ! tunalia lia kumbe kuna watu wenye UTHUBUTU NAMNA HII ! kwakwel nimejisikia mwenye furaha tena !unaakaje miaka 6 bila hata kusalimiwa jaman !khaaa nanyupu nakupenda pia mdogo wangu! masuala ya umri yasikutishe tutafix tu mbn !
 
Mr. BILGERT naona unanyang'anywa tamu yako hivi hivi. Usije ikawa umeshindwa kuhudumia


sema wewe kila siku kuniomba acc no hawek chochoteee hehehehe huyu nimteme tu !kila siku naangalio salio tgpesa wapii ! khaa we BILGERT ndo nishakutema! tafuta wa kufanana na ww !mie ndo nhamishia maisha geita katoro! nikale thato mie
 
Kabla hujaamua kusogeza kiumbe chenye akili timamu kwenye himaya yako bila kutumia silaha !!

Fuata hizi mbinu
1.mjue jina lake halisi .

2.kama anapenda utani linyumbue jina lake Kwa namna ya pekee!yaani utofautiane na wengne katka uitaji

3.mpigie simu kila Mara !hapa usisahau kuwa unalitumia hilo jina ili alizoee!..

4.Fanya vitu tofauti kwake huku ukifuatilia mrejesho kutoka kwake kama anavipenda vitu hivyo na anakutofautisha na wengne walowahi kummbebisha

5.Usiwe na uharaka ya kuiambia jamii kuhusu hisia zako kwake..anyway unaweza kuwaambia watu ila yeye asijue

6.Mfahamu vizuri ikiwa ni pamoja na kuudukua udhaifu wake na kuuelewa mahali ulipo egemea

7.Akisha kuzoea kama ng'ombe wa mnada anza kumswaga taratibu bila kutumia fimbo tumia maneno matamu mubashara ili afike getto

8.Siku akifika getto Kwa Mara ya kwnza usianze kumsimulia kuhusu mafanikio yako humo ndani

9.Mwache ashike kila akipendacho humo ndani !vya kushika vikiisha utaanza kushikwa wewe sasa!hapa usije kuruka kama mjusi aliyedondoka kutoka juu ya mti

10.Ukishikwa usikiruhusu kiboro dinda kidinde haraka jikaze ili aanze kudinda yeye!hapa utamchezea kama mtoto mdogo

11.Sasa baa mdogoo hapa mtekenye samaki wako na umgeuze geuze unavyotaka akiiva mle kirafi kabisa na Kwa kiwango cha rami..

12.Baada ya hapo njoo sasa umsifie huku JF na ukimtofautisha na thread zote ambazo umewahi kupekenyuaa

Nasi tutamuita shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiii

acha uongo




woyooooooooooooooooooooooooooooooooooooo hizi ndo techniques za kihenga! unanyonyolewa hivihiviiiiiiii
 
Back
Top Bottom