Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Ndugu zangu mwenzenu nipo katika majuto mjukuu
Kwa matumizi niliyokuwa nafanya wakati ule ni mabaya sana.
Nilipokuwa na pesa mfukoni matumizi yangu yalikuwa niya hali ya juu sana. Na nilikuwa napata pesa nyingi sana
Nikawa natafuta marafiki naenda kutumia sasa pesa zimeniishia Nguvu moja sina la kusema marafiki zangu wote wamenikimbia... Wakati ule nikiingia kwenye Bar/Hotel nawaambia marafiki kuleni kunyweni.
Sasa hivi wameniona nimewaka wananikimbia na wengine wananikebehi kwa kuniomba buku/ 1000/= wakati wanajua nimewaka ile ngumu na wengine wananicheka na kuniambia ndio ukubwa huo.
Kwa matumizi niliyokuwa nafanya wakati ule ni mabaya sana.
Nilipokuwa na pesa mfukoni matumizi yangu yalikuwa niya hali ya juu sana. Na nilikuwa napata pesa nyingi sana
Nikawa natafuta marafiki naenda kutumia sasa pesa zimeniishia Nguvu moja sina la kusema marafiki zangu wote wamenikimbia... Wakati ule nikiingia kwenye Bar/Hotel nawaambia marafiki kuleni kunyweni.
Sasa hivi wameniona nimewaka wananikimbia na wengine wananikebehi kwa kuniomba buku/ 1000/= wakati wanajua nimewaka ile ngumu na wengine wananicheka na kuniambia ndio ukubwa huo.