Jamani wajameni...hivi ndoa ni kitu gani. Mbona tunachokifahamu na kilichopo ni vitu viwili tofauti. Wengi wetu tunadhani ndoa ni raha, furaha, amani, kicheko, kuelewana, kupatana tu. Yani ndo kila mtu anadhani hivyo na anategemea hivyo kwenye ndoa zetu.
Lakini hakuna anaetaka makuzi, uchokozi, matusi, kejeli sometimes na dhihaka, sometimes kudharauliwa pia. Jamani eeh haya pia yapo. Kuna muda wanawake wanakuwa na gubu la.mawifi usiombe. Kuna muda wanaume hawaelewi somo hata usemeje mwanamke utahisi mume ana dharau, hakupendi tena..sijui upendo umeisha. Na mwanaume na wewe utasema huyu kashapata bwana mwngne...
Hivi ni vitu vidogo sana ongea nae mwambie hujapenda af aombe msamaha. Asipojishusha you can chose to forgive kwa afya ya akili yako. Msifikirie ndoa ni vcheko saa 24 ebooo...kubalini na makuzi yake!!!!
#itsworthit#