"Nakwenda yaani basi tu" kauli hii imeninyima raha sana

"Nakwenda yaani basi tu" kauli hii imeninyima raha sana

Wakuu,

Salam.

Juzi nilitaka huyu mwanamke aende mahali kutekeleza wajibu fulani akasema haendi hajisikii kutoka. Nikaumia kidogo lkn nikamezea.

Baadae akaniuliza "mahali kwenyewe ulitaka niende kufanyaje" nikamuambia asiende Tena Kule ambako ni mbali Bali aende kwingine karibu kunisaidia kulipa deni. Akanijibu "Naenda Yaani Basi Tu!" Katika sauti iliyoonyesha dharau kweli kweli.

Ikabidi nimuambie kamaa hataki kwenda aache tuu nitaenda mwenyewe na kumtaka aniandalie nguo.

Baada ya Muda nikaingia chumbani nikakuta kaweka Suruali na mkanda anaendelea kutafuta nyingine. Huku natoka nje nikajisemea "niandalie nguo nzuri Ili nisherehekee Eid Huko huko (sio muislam Mimi though)".

Nikaendelea na shughuli nyingine nikisubiri niambiwe nguo tayari. Baada ya Muda namuona nje kabafikisha nguo tayari kwenda mjini ananiuliza "hiyo Hela Iko wapi nipeleke?" Nikampatia akapeleka.

Toka Jana najiuliza sana je ilikuwa Sahihi kunijibu vile Mimi Mume wake "naenda yaani basi Tu?"

Bado sijaliongelea hili suala nasubiri hasira ziishe na niwe na maswali mengine mawili matatu Yaa kumuhoji. Muda mwingine sioni Kosa kuliona ni lijianamke.

Ni vile Sina mkono wakupiga mwanamke ningeshasambaratisha sebule.
Usiku ulimfikisha lkn? Tuanzie hapo
 
MUUWE huyo hakufai na wewe umezidi kwani hukuona mwanamke bora kama DEAR KATUNGE wangu jamani
 
Usipende mkeo kumtuma tuma hovyo,, kunasiku utamtuma alafu ataenda kuliwa huko uje hapa uanze kulialia... Mwanamke akikuambia hatoki kama wewe unaweza kutoka nenda chapu usikumbane nae..yeye ni pambo la ndani... Shauri yako
 
Wakuu,

Salam.

Juzi nilitaka huyu mwanamke aende mahali kutekeleza wajibu fulani akasema haendi hajisikii kutoka. Nikaumia kidogo lkn nikamezea. Baadaye akaniuliza "mahali kwenyewe ulitaka niende kufanyaje" nikamuambia asiende Tena Kule ambako ni mbali Bali aende kwingine karibu kunisaidia kulipa deni. Akanijibu "Naenda Yaani Basi Tu!" Katika sauti iliyoonyesha dharau kweli kweli.

Ikabidi nimuambie kamaa hataki kwenda aache tuu nitaenda mwenyewe na kumtaka aniandalie nguo. Baada ya Muda nikaingia chumbani nikakuta kaweka Suruali na mkanda anaendelea kutafuta nyingine. Huku natoka nje nikajisemea "niandalie nguo nzuri Ili nisherehekee Eid Huko huko (sio muislam Mimi though)".

Nikaendelea na shughuli nyingine nikisubiri niambiwe nguo tayari. Baada ya Muda namuona nje kabafikisha nguo tayari kwenda mjini ananiuliza "hiyo Hela Iko wapi nipeleke?" Nikampatia akapeleka.

Toka Jana najiuliza sana je ilikuwa Sahihi kunijibu vile Mimi Mume wake "naenda yaani basi Tu?"

Bado sijaliongelea hili suala nasubiri hasira ziishe na niwe na maswali mengine mawili matatu Yaa kumuhoji. Muda mwingine sioni Kosa kuliona ni lijianamke.

Ni vile Sina mkono wakupiga mwanamke ningeshasambaratisha sebule.
Inaonekana huyo mke umemfanya mtu wa kumtumatuma, na yeye hataki.
 
Wakuu,

Salam.

Juzi nilitaka huyu mwanamke aende mahali kutekeleza wajibu fulani akasema haendi hajisikii kutoka. Nikaumia kidogo lkn nikamezea. Baadaye akaniuliza "mahali kwenyewe ulitaka niende kufanyaje" nikamuambia asiende Tena Kule ambako ni mbali Bali aende kwingine karibu kunisaidia kulipa deni. Akanijibu "Naenda Yaani Basi Tu!" Katika sauti iliyoonyesha dharau kweli kweli.

Ikabidi nimuambie kamaa hataki kwenda aache tuu nitaenda mwenyewe na kumtaka aniandalie nguo. Baada ya Muda nikaingia chumbani nikakuta kaweka Suruali na mkanda anaendelea kutafuta nyingine. Huku natoka nje nikajisemea "niandalie nguo nzuri Ili nisherehekee Eid Huko huko (sio muislam Mimi though)".

Nikaendelea na shughuli nyingine nikisubiri niambiwe nguo tayari. Baada ya Muda namuona nje kabafikisha nguo tayari kwenda mjini ananiuliza "hiyo Hela Iko wapi nipeleke?" Nikampatia akapeleka.

Toka Jana najiuliza sana je ilikuwa Sahihi kunijibu vile Mimi Mume wake "naenda yaani basi Tu?"

Bado sijaliongelea hili suala nasubiri hasira ziishe na niwe na maswali mengine mawili matatu Yaa kumuhoji. Muda mwingine sioni Kosa kuliona ni lijianamke.

Ni vile Sina mkono wakupiga mwanamke ningeshasambaratisha sebule.
Unamoyo mdogo sana wewe ni kibinti sio mwanaume

USSR
 
Zungumza nae ajue hujapenda, atajua namna ya kukutreat sisi hapa jukwaani tutakupa mawazo ambavyo yanaweza kukufanya uone kazingua sana au yuko sahihi na siku zote amini katika mwazo yako maana akili za kuambiwa changanya na zako.

Nenda mwambie ulivyofeel ili ajiwekee mazingira ya kutokurudi alilofanya maana yeye ndio mhusika zaidi kuliko hapa
 
Wakuu,

Salam.

Juzi nilitaka huyu mwanamke aende mahali kutekeleza wajibu fulani akasema haendi hajisikii kutoka. Nikaumia kidogo lkn nikamezea. Baadaye akaniuliza "mahali kwenyewe ulitaka niende kufanyaje" nikamuambia asiende Tena Kule ambako ni mbali Bali aende kwingine karibu kunisaidia kulipa deni. Akanijibu "Naenda Yaani Basi Tu!" Katika sauti iliyoonyesha dharau kweli kweli.

Ikabidi nimuambie kamaa hataki kwenda aache tuu nitaenda mwenyewe na kumtaka aniandalie nguo. Baada ya Muda nikaingia chumbani nikakuta kaweka Suruali na mkanda anaendelea kutafuta nyingine. Huku natoka nje nikajisemea "niandalie nguo nzuri Ili nisherehekee Eid Huko huko (sio muislam Mimi though)".

Nikaendelea na shughuli nyingine nikisubiri niambiwe nguo tayari. Baada ya Muda namuona nje kabafikisha nguo tayari kwenda mjini ananiuliza "hiyo Hela Iko wapi nipeleke?" Nikampatia akapeleka.

Toka Jana najiuliza sana je ilikuwa Sahihi kunijibu vile Mimi Mume wake "naenda yaani basi Tu?"

Bado sijaliongelea hili suala nasubiri hasira ziishe na niwe na maswali mengine mawili matatu Yaa kumuhoji. Muda mwingine sioni Kosa kuliona ni lijanamke.

Ni vile sina mkono wakupiga mwanamke ningeshasambaratisha sebule.
Ndo maana sisi wanaume tunakufa mapema, kitu kidogo kama hicho unachukulia serious adi unafungua uzi kabisa, sasa kama mwanamke kachoka kuna ubaya gani kusema?
 
Wakuu,

Salam.

Juzi nilitaka huyu mwanamke aende mahali kutekeleza wajibu fulani akasema haendi hajisikii kutoka. Nikaumia kidogo lkn nikamezea. Baadaye akaniuliza "mahali kwenyewe ulitaka niende kufanyaje" nikamuambia asiende Tena Kule ambako ni mbali Bali aende kwingine karibu kunisaidia kulipa deni. Akanijibu "Naenda Yaani Basi Tu!" Katika sauti iliyoonyesha dharau kweli kweli.

Ikabidi nimuambie kamaa hataki kwenda aache tuu nitaenda mwenyewe na kumtaka aniandalie nguo. Baada ya Muda nikaingia chumbani nikakuta kaweka Suruali na mkanda anaendelea kutafuta nyingine. Huku natoka nje nikajisemea "niandalie nguo nzuri Ili nisherehekee Eid Huko huko (sio muislam Mimi though)".

Nikaendelea na shughuli nyingine nikisubiri niambiwe nguo tayari. Baada ya Muda namuona nje kabafikisha nguo tayari kwenda mjini ananiuliza "hiyo Hela Iko wapi nipeleke?" Nikampatia akapeleka.

Toka Jana najiuliza sana je ilikuwa Sahihi kunijibu vile Mimi Mume wake "naenda yaani basi Tu?"

Bado sijaliongelea hili suala nasubiri hasira ziishe na niwe na maswali mengine mawili matatu Yaa kumuhoji. Muda mwingine sioni Kosa kuliona ni lijanamke.

Ni vile sina mkono wakupiga mwanamke ningeshasambaratisha sebule.
Kuna vitu vingine tuache kukuza au kutafsiri tofauti binafsi sioni kosa lake hapo yani mkuu unatafuta ugomvi kabisa tafuta amani mzee ukishakua kichwa cha familia mengine unapotezea sasa kajambo kadogo hivyo umekaweka rohoni weee
 
Jamani wajameni...hivi ndoa ni kitu gani. Mbona tunachokifahamu na kilichopo ni vitu viwili tofauti. Wengi wetu tunadhani ndoa ni raha, furaha, amani, kicheko, kuelewana, kupatana tu. Yani ndo kila mtu anadhani hivyo na anategemea hivyo kwenye ndoa zetu.

Lakini hakuna anaetaka makuzi, uchokozi, matusi, kejeli sometimes na dhihaka, sometimes kudharauliwa pia. Jamani eeh haya pia yapo. Kuna muda wanawake wanakuwa na gubu la.mawifi usiombe. Kuna muda wanaume hawaelewi somo hata usemeje mwanamke utahisi mume ana dharau, hakupendi tena..sijui upendo umeisha. Na mwanaume na wewe utasema huyu kashapata bwana mwngne...

Hivi ni vitu vidogo sana ongea nae mwambie hujapenda af aombe msamaha. Asipojishusha you can chose to forgive kwa afya ya akili yako. Msifikirie ndoa ni vcheko saa 24 ebooo...kubalini na makuzi yake!!!!

#itsworthit#
Ndoa ni nzuri ila wanandoa ni wakorofi tu wanaishi kimazoea na malipizi
 
Huwa sipendagi nimsikie mwanamke aseme basi kama hutaki nitafanya mimi au nitaenda mimi at first place Kwanini hukufanya hivyo, mbaya zaidi nimeikuta hii kwa huyu mwanaume yani sijui nimekuonaje, mwanaume kususa dah
 
Back
Top Bottom