Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Fukuza huyo...ameota mapembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]mkuuu punguza gubu shezi ww
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha ukabaila na ubwanyenye we jamaa
Jibu la shemeji yanaacha maswali mengi , 'Naenda lakini basi tu' hiyo basi tu , kuna kitu hakipo sawa na jamaa hajui ni kipi!Japo sometimes Mimi Nina mfumo dume hila hapo sijaona kosa la shemeji
Pole ila inategemea na wewe umem-treat vp saa ingine polite language kwa wanawake Huwa wanaichukulia kama anakuweza vile, jaribu kuwa harsh unapokuwa unatoa maelekezo kwa mkeo.Wakuu,
Salam.
Juzi nilitaka huyu mwanamke aende mahali kutekeleza wajibu fulani akasema haendi hajisikii kutoka. Nikaumia kidogo lkn nikamezea. Baadaye akaniuliza "mahali kwenyewe ulitaka niende kufanyaje" nikamuambia asiende Tena Kule ambako ni mbali Bali aende kwingine karibu kunisaidia kulipa deni. Akanijibu "Naenda Yaani Basi Tu!" Katika sauti iliyoonyesha dharau kweli kweli.
Ikabidi nimuambie kamaa hataki kwenda aache tuu nitaenda mwenyewe na kumtaka aniandalie nguo. Baada ya Muda nikaingia chumbani nikakuta kaweka Suruali na mkanda anaendelea kutafuta nyingine. Huku natoka nje nikajisemea "niandalie nguo nzuri Ili nisherehekee Eid Huko huko (sio muislam Mimi though)".
Nikaendelea na shughuli nyingine nikisubiri niambiwe nguo tayari. Baada ya Muda namuona nje kabafikisha nguo tayari kwenda mjini ananiuliza "hiyo Hela Iko wapi nipeleke?" Nikampatia akapeleka.
Toka Jana najiuliza sana je ilikuwa Sahihi kunijibu vile Mimi Mume wake "naenda yaani basi Tu?"
Bado sijaliongelea hili suala nasubiri hasira ziishe na niwe na maswali mengine mawili matatu Yaa kumuhoji. Muda mwingine sioni Kosa kuliona ni lijanamke.
Ni vile sina mkono wakupiga mwanamke ningeshasambaratisha sebule.
Kaoa RobotiUna gubu kha!! Ina mana hapo hujaelewa nn? Hakua na mood ya kutoka, hakujiskia kwenda kokote hio siku, na alienda akuridhishe tu sasa shida iko wapi?? punguza gubu na maneno madogo madogo yanakosesha furaha ya nyumba.
swala la kutuma kwa sim yawezekana wapo jirani tu ila kuambiwa naenda bas tu nalo ni kosa kha!Kaoa Roboti
Halina hisia
Mipango
Wala taratibu
Kwanza siku hizi hela zinatumwa hata kwa simu
Yani huoni Kosa Hapo?swala la kutuma kwa sim yawezekana wapo jirani tu ila kuambiwa naenda bas tu nalo ni kosa kha!