American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
Jambo dogo sana labda kama Kuna mengine na amezidisha kufanya hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wanakufa mapema..kubeba visivyobebwambona vitu vidogo hata sio vya kutiliamaanan
We ni Exceptional nikikupata wewe sihiitaji wanne [emoji8]
Ubarikiwe mama kwa hekima zakoLabla wawili watatu mkuu ndio inapendeza
Wengi wenu mtajibu kutokana na hii kauli lakini ndoa hii inaashiria ina mgogoro wa siku nyingi.Una gubu kha!! Ina mana hapo hujaelewa nn? Hakua na mood ya kutoka, hakujiskia kwenda kokote hio siku, na alienda akuridhishe tu sasa shida iko wapi?? punguza gubu na maneno madogo madogo yanakosesha furaha ya nyumba.
Hawako sawa hivyo kijineno kidogo ni maumivuJapo sometimes Mimi Nina mfumo dume hila hapo sijaona kosa la shemeji
Una gubu kha!! Ina mana hapo hujaelewa nn? Hakua na mood ya kutoka, hakujiskia kwenda kokote hio siku, na alienda akuridhishe tu sasa shida iko wapi?? punguza gubu na maneno madogo madogo yanakosesha furaha ya nyumba.
Asijelaumu baadae Binadamu wabayaShauri yake[emoji38][emoji38][emoji38]
Sahihi kabisa.Ifike hatua kuwe na mtihani kabla mtu hajapewa mke.
[emoji23][emoji23]mkuuu punguza gubu shezi ww
Kweli? Na mie sitaki hiyo wanne,ukiwa na mie haina haja ya kuongeza[emoji8]We ni Exceptional nikikupata wewe sihiitaji wanne [emoji8]
[emoji7][emoji7]Kweli? Na mie sitaki hiyo wanne,ukiwa na mie haina haja ya kuongeza[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulioa ili uandaliwe nguo[emoji849][emoji19]..??Your fingers are not same size. Nilioa Ili niandaliwe nguo.
Secondly elewa Dharura. Si lazima nieleze nilichokuwa nafanya mchana huo. Ila Dharura nilivyokuwa nayo sikuwa na budi kumuagiza aende.