Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Sasa Eve wewe kama ni mtanzania wa kawaida unataka kuniambia mke kumnawisha mume ni ishu nayo?!! Acheni utani bana hayo mambo ya kawaida sana kwenye jamii za kitanzania labda kama mnaongelea jamii ya hapo kwa jaluo mtaa wa pili.
Mpendwa umetembelea familia ngapi ukakuta wake wanawanawisha mikono waume zao? Kila kitu utakikuta mezani, endelea mwenyewe. Ni wachache mno honestly, hongereni kwa hilo
 
Mpendwa umetembelea familia ngapi ukakuta wake wanawanawisha mikono waume zao? Kila kitu utakikuta mezani, endelea mwenyewe. Ni wachache mno honestly, hongereni kwa hilo
Huku kwetu uswahilini mambo ya kawaida mnooo. Tatizo huko wanakoiga uzungu uzungu mwingi huwezi kukuta haya mambo.
 

Kweli, ndo maana huwa nawaonea huruma decent ladies make huwa hawaishwi kuumizwa
 
Huku kwetu uswahilini mambo ya kawaida mnooo. Tatizo huko wanakoiga uzungu uzungu mwingi huwezi kukuta haya mambo.
Inawezekana upo sahihi, maana uswahilini kwa mahaba tu wameshindikana
 
Mpendwa umetembelea familia ngapi ukakuta wake wanawanawisha mikono waume zao? Kila kitu utakikuta mezani, endelea mwenyewe. Ni wachache mno honestly, hongereni kwa hilo

Sasa naanza kumuelewa housegirl
 
Last edited by a moderator:
Huku kwetu uswahilini mambo ya kawaida mnooo. Tatizo huko wanakoiga uzungu uzungu mwingi huwezi kukuta haya mambo.

Una generalize mambo kama kwako ni kawaida good for you.....
Kama best angu anavonishangaa mie kufua kunyoosha namie namshangaa yeye kulala huku mme wake anafua na kujinyooshea
 

Aaah kuzinguana, kuchuniana mambo ya kawaida sana wala sio cha kushangaa
 
NANDERA cha kusikitisha zaidi wanawake wanafanya haya yote na bado wanaachwa mwisho wa siku wanabaki kujiuliza wamekosea wapi. Cha muhimu is to be yourself.
 
Last edited by a moderator:
Hahha mpe tigo sasa...

On a serious note...huyo kakuchoka! Ingawa jibu zuri ungelipata kwake zaidi.
 
Ni Mambo Ya Kawaida Sawa, Ila Ww Unaona Umemaliza Kila Kitu Kiasi Kwamba Unasema Unamfanyia Kila Kitu Lakin Bado Haridhiki!! Mean Umemaliza Kila Linalostahil Yy Kufanyiwa Lakin Haridhiki!!!

And your point is?
 
Take it easy. Dont take marriage too serious. Utakufa kwa presha. Fanya unachoweza, usichoweza acha. Kumbuka wewe ni binadamu pia.
 
Sasa Eve wewe kama ni mtanzania wa kawaida unataka kuniambia mke kumnawisha mume ni ishu nayo?!! Acheni utani bana hayo mambo ya kawaida sana kwenye jamii za kitanzania labda kama mnaongelea jamii ya hapo kwa jaluo mtaa wa pili.

Wala Sina haja ya kukulazimisha
 

Thanks, sio kuwa hata naogopa lawama but nashangaa tu....nimekupata
 
Sasa naanza kumuelewa housegirl
Hahhaa bora umuelewe tu, ili usije ukaingia na expectations kibao afu ukakuta hamna kitu. Ikitokea umejibahatishia mmoja kama gelofriend wangu, basi itakuwa zali la mentali
 
Last edited by a moderator:

Unalalamikiwa kwa LIPI hasa? Be specific!
 
:thumbup::thumbup:
 
Last edited by a moderator:

Muda ninao may be nature ya kazi pia, namaliza mapema by saa sita nakua home kila siku....labda nikiwa bize zaidi ndio nitashindwa kutekeleza majukumu yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…