Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

We kama nani mpaka ulione anguko la mtu...??

Acheni uchawi wenu baasi...miaka karibia 6 mnatoa utabiri ambao hautumii
 
Always negativity...eti anabebwa na video za Godfather!!? Kama ni rahisi kiasi hicho itabidi tumpeleke Best Naso kwa Godfather naye akajaribu bahati yake. Hah hah vp Kerewa na Mwana zilishindikana kwa Godfather?

Anayepanga ni rabana ila ameficha ni confidential. ..
 
Huwezi kusema hii nyimbo ni mbaya utaonekana hujui kazi za sanaa. Mi siwezi kusikiliza wimbo wowote wa Justin Bieber lakini sina maana hajui kuimba au nyimbo zake ni mbaya.
 
Diamond angejitahidi kukaa bila kutoa wimbo mpya ili watu wammiss hii style inasaidia sana msanii akirudi anaonekana mpya.

Sasa hii nyimbo mpya kiukweli ni ya kawaida sorry to say that
 

Umeonaee nyimbo zake mbayaaaa..hahaha. Wabongo bhana.
Ndo maana anashnda tuzo zakutosha nje ya nchi.
Mtu anaenda na soko wewe acha kuweweseka. Wanzako wanamkubali..
 
Diamond angejitahidi kukaa bila kutoa wimbo mpya ili watu wammiss hii style inasaidia sana msanii akirudi anaonekana mpya.

Sasa hii nyimbo mpya kiukweli ni ya kawaida sorry to say that

fikra za kimaskini
 

Yamkini umetumwa.
Wewe na aliye. .... mnasumbukiwa na WIVU
 
Eti anabebwa na video za godfather ha haa haaa aisee nyie watu mna visa!

Lina katoa video mbili kwa godfather...

Alikiba katoa video kwa godfather

Sheta katoa video mbili kwa godfather

Hao wote mbona hawang'ai Africa kama anavyong'aa diamond? Kama point ni ukitoa tu video kwa godfather basi umeng'aa kimataifa!
 
kusema kweli mpenzi wa Mungu video kali ila audio mbaya nlitegemea angetengeneza mahadhi ya Zouk ingekua tamu ka ukimwona..

Good idea, bad song

we jamaa umenikumbusha ile ngoma ni tamu sana ukimwona kuanzia beat mpaka melody na lyrics.
ndiyo maana uwa namwombea amalize tofauti na producer manecky arudi afanye kazi na manecky maana manecky sio kama wengine pia uwa anawashauri wasanii apa bwana huu wimbo wafaa uimbe mahadhi flani.
hata suma lee waligombana sana wakati manecky alipomwambia wimbo wa hakunaga wafaa kuimbwa kama kwaito maana suma lee hakutaka.
 
Hali ya K4Riil ilivyo hivi sasa baada ya Utanipenda? Kutoka wakati Nagharamia ikiwa imeshindwa kujigharamia
 

Attachments

  • 1449978214810.jpg
    5.2 KB · Views: 487

Sasa best nasoo anaingiajee Hapo??
 

Dah! Speechless!
Nasikitika kwa kutojua hiv ni kwann hawa jamaa huwa wanashindwa kukuelewa unapotoa darasa,? Wazo linalokuja haraka kichwani mwangu ni kwamba wana matatizo ya akili.
 
Diamond anajua mashabiki, TV, radio, mapromota na waandaaji wa tuzo wanataka nini, wapi na lini. ndo anafanya. Kwa hiyo Mziki wake unapata airtime, nakiwania tuzo anapata. Na Vanessa anafanya hivohivo.


Kwa sasa hakuna jinsi ya kumstop dai; wasanii wamtumie kama yeye alifanya kwa AY. Sio wasanii wanaimba yanayoyataka wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…