Nalipa kodi TRA zaidi ya milioni tatu kwa mwezi, ni hasira sana ninapokuta umeme umekatika nyumbani

Nalipa kodi TRA zaidi ya milioni tatu kwa mwezi, ni hasira sana ninapokuta umeme umekatika nyumbani

Hili swala sio la mzaha kuna jambo serikali wafanye kitu, umeme unashuda gani mbona mwendazake kulikua hakuna hili
 
Umeme wa tanesco una raha yake maana unawasha chochote nyumbani. Generator zile nzuri zenye silencer ni gharama sana kuzinunua kwa matumizi ya nyumbani, labda iwe kwenye biashara.

Generator hizi ndogo ukiziwasha ni kelele mtaa mzima na kusumbua majirani huku umeme wake hauwashi hata ac.
Solar system ya kuanzia sh 7,000,000 mpaka 12,000,000; unatembea na vyombo vyote vya umeme kwa matumizi yetu ya kawaida.

Kama unatumia chini ya unit 200 kwa mwezi, solar system ndio mbadala sahihi, sio jenereta!
 
Wawape watu washindanie tenda kwa kutumia sheria ya manunuzi ya 2012 watoe zabuni ili tuwe na suppliers wengi wa umeme
 
Chukua hizo hizo hesabu, nenda nazo kwenye population, kisha uniambie kama wako wengi wa kipato halali hicho, kwa wingi huo unaousema, TAKWIMU ya kuwa NCHI MASIKINI kwa kiwango cha kuishi chini ya Tzs 2,400 kwa siku inatokea wapi?

Kwa mujibu wa TRA, TZ ilifikia/ipo hatua ya kukusanya tzs 2trln kwa mwezi kama kodi. Hii ni wastani wa tzs 32,260 kwa kila mtanzania kwa mwezi.

Kumaanisha, average kipato kwa hesabu ifafanayo na yako(18%) kwa kila mtanzania ni tzs 179,222 kwa mwezi.

Sasa huoni inatisha kama average inamshusha Mo, Bakhresa pamoja na wezi wote wakijani na wa kimtamdao, mpaka kwenye kipato cha tzs 179,000 kwa mwezi?

Hao wengi wenye kipato halali cha mpaka 5m kwa mwezi ni wangapi kati ya 6m population ya watu wa Dar? Tuanzie hapo kwanza!
Wananchi wengi ni masikini wa kutupwa ingawa nchi yetu ni tajiri.
 
Hili swala sio la mzaha kuna jambo serikali wafanye kitu, umeme unashuda gani mbona mwendazake kulikua hakuna hili
Huyu mama hapa amefeli pakubwa maana kila kitu kimekuwa business as usual.
 
Solar system ya kuanzia sh 7,000,000 mpaka 12,000,000; unatembea na vyombo vyote vya umeme kwa matumizi yetu ya kawaida.

Kama unatumia chini ya unit 200 kwa mwezi, solar system ndio mbadala sahihi, sio jenereta!
Asante mkuu, itabidi sasa tuhamie huku maana kuitegemea tanesco imekuwa ni maumivu.
 
Wawape watu washindanie tenda kwa kutumia sheria ya manunuzi ya 2012 watoe zabuni ili tuwe na suppliers wengi wa umeme
Tanesco inatakiwa ibakie kwenye usambazaji na uzalishaji yapewe makampuni mengine. Kila kampuni ipate malipo sawa na kiasi walichozalisha.
 
Tofautisha kulipa kodi na kulipa bili ya umeme. Kuna viwanda vinalipa kodi ya mabilioni na wana genereta.

Tulia..3m unafoooka...we vipi?

Hujui tofauti ya TRA na TANESCO ?
Nyie ndo majizi
 
Back
Top Bottom