Uchaguzi 2020 Namba 1: Wakala wa Tundu Lissu, David Jumbe akabidhiwa fomu ya kugombea Urais kupitia CHADEMA

Hatua ya mwanzo kabisa imeanza kuonesha uthubutu rasmi wa CHADEMA kwenda kuichukua dola kupitia sanduku la kura.
 
Umesahau na dereva hakupata hata mchubuko na kumtorosha kabisa
Dereva angepata vipi mchubuko wakati wahalifu walikua wanajua wanaye mtaka yuko seat ya abiria?

Halafu huwa wanahoji kwanini aliumia mguu wa kulia badala ya mguu wa kushoto.Lakini hawajiulizi ,wakati kiti kimelazwa je TL alilala chali au kifudi fudi? Kama alilala chali basi risasi zingeharibu mguu wa kushoto zaidi, lakini kama alilala kifudi fudi kuficha uso ndio maana mguu ulichakazwa wa kulia.

Dereva ,alikua hospital ya mkoa Dodoma,toka saa 7 mchana hadi saa 8 usiku wakati ndio TL anaondoshwa Dodoma,masaa 13 baada ya ajali, ina maana Uchunguzi ulikua haujaanza masaa 13 baada ya tukio, kama ulikua umeanza walianzia kwa nani wakati dereva ndiye mtu alikua na TL kabla ya ajali na wakati wa ajali?

Au ndio uchunguzi ulianzia kwenye uondoaji wa CCTV Camera kwenye eneo la tukio? Haya masuala yakikosa majibu duniani, majibu yake yatapatikana hata mbinguni!
 
Hili swali inafaa dereva atujibu
 
hakuna haja ya ulinzi! Mnyampaa tayari ameumia hana sifa za urais!! nani atampigia kura? wewe?
Mbona hata shemeji kasema kura yake kwa Lissu. Umebaki wewe tu katika hiyo familia kwa kuwa tayari umepokea kofia na tshirt zile za kijani kama zawadi kwa miaka mitano ijayo
 
Mbona begi halijaandikwa kugombea nafasi ya vyombo vya dola?
 
Huyo ameshashindwa kabla hata hajajaza fomu
Katiba ya chadema inataka mtia nia achukue fomu mwenyewe na airudishe mwenyewe,wakala anaweza tumika kutafuta wadhamini
 
Uraisi una wakala!!!! Mtu haendi personally eeee hii Kali

Ile barua Lisu aliandika kuomba kuteuliwa Uraisi kazi yake ilikuwa Nini?
Barua ndo inachukua Fomu? Mbona una akili za kitoto
 
35% 2015 na pamoja na kazi za NCCR-M. CUF. CHADEMA. TLD. (UKAWA). safari hii ni 23% au chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…