Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, TWENDE NA JECHA ZNZ 2020-2025
Duh nchi hii kuja kupata maendeleo itachukua miaka 1000.
Huyu ni "karma" tu inasubiri juu ya kesho yake. Kwa maana kwa imani ya dini yoyote ile maamuzi yake yaliikosea mbingu na dunia.
Hahahaha, Jamani Twendeni na Jecha ZNZ 2020-2025Mimi Jecha salim Jecha, huyu jamaa wazinzabar hawatomsahau kwa kufuta uchaguzi mkuu 2015.
Katiba ya zanzibar inaeleza kabisa kutaka wajumbe kutoka ccm 6,na cuf 6,sijui wajumbe wa mwaka huu itakuaje kwa sababu wale wa cuf walijiuzulu,itabidi wateuliwe wengine toka cuf!!Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
katumwa tu huyo achukuwe form just kubabaisha watuAtawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015
Mkuu ndo unajua Leo? Wakurugenzi wote Wa halmashauri ndo wasimamizi Wa uchaguzi na Ni makada Wa ccm 100% na mteuaji Ni mwenyekiti Wa ccm.Hivi kumbe wenyeviti wa tume za uchaguzi ni ccm halafu wapinzani wanakubali kushiriki uchaguzi?
Na ametishia asipoteuliwa anamwaga mboga zote !Hahahaha, Jamani Twendeni na Jecha ZNZ 2020-2025
Siasa kweli mchezo mchafu, bila haya wala aibu kachukua fomu
Hili jamaa ni pumbavuAlijiunga na Ccm baada ya kustaafu
Kuna baadhi ya vyeo huwezi kupata Kama huna kadi ya mashetani ya CCM usishangae kusikia jenerali waitara ni mjumbe wa nec ya ccm
Kila uchaguzi CCM wanaiba, kila uchaguzi chadema wanaibiwa. Na mwaka huu Tena CCM wanaiba chadema wanaibiwa.Bila wizi wa kura ccm haishindi hata jimbo moja
Huyu alikuwa CCM kabala , na alishawahi kugombea Ubunge huko nyuma katika jimbo fulani hapa Unguja.akashindwa kwenye kura zamaoni.Alijiunga na Ccm baada ya kustaafu