Zanzibar 2020 Namba 14: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar. Arejesha fomu hiyo

Hiyo ndio maana ya demokrasia!
 
Waafrika Ni watu wa ajabu Sana, Wana uwezo wa kuandamana kupinga vitendo vya kibaguzi dhidi yao huko kwenye nchi za wazungu lakini hawafanyi hivyo kupinga chaguzi za kijinga kwenye mataifa yao.
 
Atajitangaza mwenyew huyu na uchaguzi hautarudiwa[emoji16][emoji16]
 
Duh...!.
P
 
Hiki kichekesho sasa! Anategemea na yeye apewe kirahisi kama alivyompa Shein?
 

Kwa mujibu wa Katiba au Kanuni zingine kuna Sheria inamzuia aliyekuwa Mwenyekiti wa ZEC kutogombea Urais ?
 
Akistaafu anaruhusiwa kujiunga na chama chochote cha siasa Mkuu
Kwahiyo huwa wanajiunga na chama hicho uzeeni mara tu baada ya kuzeeka. Hata tuseme nn sisi waafrika hatuna akili timamu. Bado tuko kwenye stage ya kupigania kupata physiological/basic needs Kama vile kula, kulala, sex, labda na kucheza ngoma, kuimba, na kucheka kinafiki. Tuko kwenye stage ambayo maua, cards za pongezi na get well soon, kupigiwa makofi na kuandikiwa barua ya pongezi na meajiri wako sio zawadi zitufurahishazo na motisha. Tuko kwenye stage ya ukiumwa unataka uletewe wodini pesa za matumizi, chakula, vinywaji na matunda na sio cards za get well soon na maua.

Tukipata kiongozi mbaya tunapiga makofi na hata tukipata kiongozi mzuri tunapiga makofi pia kitu ambacho watu wa nchi zilizoendelea hawakifanyi.

Ukosefu wa elimu na umaskini ndio wazazi wa hili, jamii na makabila yaliyopiga hatua kubwa kwenye elimu na uchumi angalau wanaweza kujaribu kubweka.
 
Atawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015
Kachoka na maisha? Athubutu kutumia karata hio kama amechoka na maisha. tutapishana nae darajani anaokota makopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…