Zanzibar 2020 Namba 14: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar. Arejesha fomu hiyo

Zanzibar 2020 Namba 14: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar. Arejesha fomu hiyo

Mkuu hao watu tulisha wajua na tumesema sana na kukemea lkn hakuna mwenye kutusikiliza sasa ndiyo hao wanajitangaza kweuupeeee kuwa ni makada wa chama tawala
View attachment 1484300

Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.

Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni.

Maoni yangu:
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
 
Aisee
Jecha hajaacha kuwa ccm mtiifu muda wote. Huyu alikuwa mtia nia mgombea wa ubunge ndani ya ccm jimbo LA Amani Zanzibar mwaka 2005. Kura hazikutosha. Ni mwana kitengo mstaafu.

Huyu ndie aliyeisaidia CCM kufuta uchaguzi halali WA 2015...
 
chadema hata kupika hamjui.. Hamuwezi kushika hatamu.. Binadamu wana akili sana.. No CCM tuna akili sana
 
View attachment 1484300

Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.

Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni..
Baada ya uchaguzi wa 2015 mtoto wa Lubuva (Jaji) alipewa ukurugenzi wa Wilaya Mwanga
 
View attachment 1484300

Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.

Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni.

Maoni yangu:
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Watanzania chagueni kutumia wingi wa kura zenu kuleta manadiliko au kubalini ccm watumie mabomu kulazimisha agenda zao
 
Atawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015

Huyo mzee anajitafutia shida tu ccm hawachelewi kukolimba

Vuta picha ya Mangula
 
Huyu jamaa atapita bila kupingwa
104603148_3034125413351086_5059048241647232985_o.jpg
 
Back
Top Bottom