Zanzibar 2020 Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

Zanzibar 2020 Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

mheshimiwamtemi

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2014
Posts
291
Reaction score
218
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo

26.jpg
------

Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi leo jumla ya watia nia 26 wamechukua fomu ambapo wanawake ni 3 na wanaume 23.

Kwa hali hii idadi inaweza kuongezeka.
Swali langu siku zote ni; Je, hii idadi kubwa Zanzibar ni kupabuka kwa demokrasia au kupungua kwa uaminifu baina ya viongozi?

Asante
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo

photo_2020-06-24_15-09-17.jpg
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo

Usiwe na Shaka Mkuu.

Wanahitajika wagombea 32 ili igizo likolee.
 
Zanzibar mmekumbwa na upepo wa kisulisuli ???😂😂
 
Rais wa Zanzibar ni kama waziri tu huku

Ni hilo limefanywa makusudi ili ionekane znz ni inferior territory mbele ya mkoloni mweusi. Msione kuwa mambo hayabadilili. Kutatokea vuguvugu kubwa sana la kudai Zanzibar nationalism and history will tell. Tunaumia tukiona kuwa ukoloni huu unavyodumaza development kule kwetu. we lost our country, culture, history, identity na mengionetel.

Naililia znz
 
Ni hilo limefanywa makusudi ili ionekane znz ni inferior territory mbele ya mkoloni mweusi. Msione kuwa mambo hayabadilili. Kutatokea vuguvugu kubwa sana la kudai Zanzibar nationalism and history will tell. Tunaumia tukiona kuwa ukoloni huu unavyodumaza development kule kwetu. we lost our country, culture, history, identity na mengionetel.

Naililia znz
Nami ni Mtanganyika sikubaliani na huu muungano.Ila kusema Znz itapata maendeleo zaidi baada ya kujitenga na Tanganyika ni kujidanganya.
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo
------

Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi leo jumla ya watia nia 26 wamechukua fomu ambapo wanawake ni 3 na wanaume 23.

Kwa hali hii idadi inaweza kuongezeka.
Swali langu siku zote ni; Je, hii idadi kubwa Zanzibar ni kupabuka kwa demokrasia au kupungua kwa uaminifu baina ya viongozi?

Asante
Bashiru anasemaje
 
Halafu mtu anayetakiwa atateuliwa na system Chamwino. Wazenj bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nafikiri kuna kasoro hapa. Pamoja na kuwa CCM wano utaratibu wao wa kumchangua mgombea urais na wagombea wa nafc nyengine, ingekuwa busara wakadai fursa wao wenyewe wachangue mtu wanayemtaka kule znz na sio wachaguliwe mgombea urasi dodoma. Kinachofanyika ni aina ya ukoloni wa kifikra na kutokuijtambua. Wachaue wao wenyewe na jina litakalopendekezwa ndo lipelekwe kwa approval ya mfumo wa kupitisha majina. lkn kinachofanyika ni kinyume chake. CCM znz hawajitambui na wenyewe wameridhia na wamekaa kimya.
 
Ni hilo limefanywa makusudi ili ionekane znz ni inferior territory mbele ya mkoloni mweusi. Msione kuwa mambo hayabadilili. Kutatokea vuguvugu kubwa sana la kudai Zanzibar nationalism and history will tell. Tunaumia tukiona kuwa ukoloni huu unavyodumaza development kule kwetu. we lost our country, culture, history, identity na mengionetel.

Naililia znz
Kweli ipo siku, generation itaamua
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo
------

Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi leo jumla ya watia nia 26 wamechukua fomu ambapo wanawake ni 3 na wanaume 23.

Kwa hali hii idadi inaweza kuongezeka.
Swali langu siku zote ni; Je, hii idadi kubwa Zanzibar ni kupabuka kwa demokrasia au kupungua kwa uaminifu baina ya viongozi?

Asante
Bashiru Ally alisema hawa watu wanataka kuharibu chama chetu cha mafisadi
 
Back
Top Bottom