mheshimiwamtemi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 291
- 218
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar
Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo
------
Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi leo jumla ya watia nia 26 wamechukua fomu ambapo wanawake ni 3 na wanaume 23.
Kwa hali hii idadi inaweza kuongezeka.
Swali langu siku zote ni; Je, hii idadi kubwa Zanzibar ni kupabuka kwa demokrasia au kupungua kwa uaminifu baina ya viongozi?
Asante
Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo
Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi leo jumla ya watia nia 26 wamechukua fomu ambapo wanawake ni 3 na wanaume 23.
Kwa hali hii idadi inaweza kuongezeka.
Swali langu siku zote ni; Je, hii idadi kubwa Zanzibar ni kupabuka kwa demokrasia au kupungua kwa uaminifu baina ya viongozi?
Asante