Zanzibar 2020 Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

Zanzibar 2020 Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

Zanzibar ilikuwa imeendelea Sana kiuchumi kabla ya Mapinduzi ya 1964..

Sasa unataka kuniambia kuwa maendeleo iliyopata Zanzibar wakati wa utawala wa Sultan yaliletwa na Tanganyika?..

Muungano umeirejesha Zanzibar nyuma kimaendeleo,kwa huu wakati tulionao,bidhaa kutoka Pakistan au Dubai inauzwa kwa bei rahisi pale Zanzibar kuliko inayotoka Tanganyika

Sultan aliifanya Zanzibar Kuwa Empire,Wanamapinduzi wameifanya Zanzibar iwe ombaomba..

By the way Duniani kulikuwa na Empire nne tu, Zanzibar ikiwa moja wapo..

Kwa Majina Kulikuwa na Roman Empire, British Empire,Otuman Empire na Zanzibar Empire..

Tafakari,...
Duniani kote visiwa ni maeneo yenye maendeleo ya hali ya juu isipokuwa kisiwa cha Pemba na Unguja.
 
Let's talk reality.... CCM katika mchakato Urais bara mambo yako wazi hasa awamu ya pili ya mgombea aliyeshinda awamu tangulizi. Mgombea huyo atapita bila kupingwa ila atachukua fomu kuomba udhamini (kuaminiwa) kwa uanachama (hii ni kanuni)
Hiyo sio reality mkuu, ukweli hasa ni kwamba kuna kundi kubwa halimtaki Magu ndani ya CCM na Jana kweli mchakato ukaachiwa uendelee nakuapia Magu hawezi kuwa mgombea wa Urais. Na kama uyasemayo yana ukweli kwanini wasiruhusu? Mbona Trump kashindana na wenzake ndio akapewa ridhaa, Magu aogopa nn?
 
Kulinganisha {Rome,Great Britain,Ottoman} na utawala wa Zanzibar ni kichekesho cha mwaka!
Kweli kwa sasa lakini amini usiamini Zanzibar ilikuwa Empire kabla British Empire..

Empire ya mwanzo ilikuwa Roman Empire ikaja Otuman Empire,halafu Zanzibar Empire ya mwisho ni British Empire..

Kila Empire inatawala na Karne yake,wakati Zanzibar inatawala sehemu kubwa ya Afrika Mashariki na Kati pamoja na baadhi ya mashariki ya Kati..Waingereza bado walikuwa wamateswa na Vikings kutoka Scandinavia🤗
 
Kweli kwa sasa lakini amini usiamini Zanzibar ilikuwa Empire kabla British Empire..

Empire ya mwanzo ilikuwa Roman Empire ikaja Otuman Empire,halafu Zanzibar Empire ya mwisho ni British Empire..

Kila Empire inatawala na Karne yake,wakati Zanzibar inatawala sehemu kubwa ya Afrika Mashariki na Kati pamoja na baadhi ya mashariki ya Kati..Waingereza bado walikuwa wamateswa na Vikings kutoka Scandinavia🤗
Wewe hiyo Zanzibar empire mbona umeikomalia mno! Uliisoma wapi? Na aliyekwambia ilikuwa powerful ni nani? Mimi naifahamu ya Omani.Na haijawahi kuwa na nguvu yoyote ile
250px-Empire_of_Oman.svg.png
8d53ee222d7349279341e726ce1ea3b9.png
 
Wewe hiyo Zanzibar empire mbona umeikomalia mno! Uliisoma wapi? Na aliyekwambia ilikuwa powerful ni nani? Mimi naifahamu ya Omani.Na haijawahi kuwa na nguvu yoyote ileView attachment 1488035View attachment 1488036
Mkuu, Oman na Zanzibar ni nchi mbili tafauti..

Zanzibar iko Afrika,Oman iko Mashariki ya Kati

Waomanii na Wazanzibari walikuwa wanatawaliwa na falme mbili tafauti..

Hapa tunaongelea Zanzibar sio Oman,

hatuongelei how powerful Zanzibar Empire it was...,

tunaongelea kuwa Zanzibar nayo imo katika historia ya kuwa Empire,

Sifikirii kama Oman imeshawahi kuwa na hadhi ya kuwa Empire..

Tafakari
 
Mkuu, Oman na Zanzibar ni nchi mbili tafauti..

Waomanii na Wazanzibari Ni walikuwa wanatakiwa na falme mbili tafauti..

Hapa tunaongelea Zanzibar sio Oman,hatuongelei how powerful Zanzibar Empire it was..., tunaongelea kuwa Zanzibar nayo imo katika historia ya kuwa Empire,Sifikirii kama Oman imeshawahi kuwa na hadhi ya kuwa Empire..

Tafakari
Nimekuwekea map ya empire za Africa umeiona Zanzibar hapo?
 
Hao ndio ya baadhi ya Waliokuwa Masultani wa Zanzibar,Kuna mwarabu hapo

Na hiyo ndio map ya baadhi ya eneo walilolitawala..View attachment 1488064View attachment 1488065View attachment 1488066
Sasa si unaona hapo sultanate of Zanzibar.Hivyo ndivyo ilivyo.Sio wewe unavyotaka kutuaminisha hivyo.Halafu tupe uthibitisho kuonesha Dola ya Zanzibar ilikuwa ina nguvu duniani au labda hata ilishawahi shikilia biashara yoyote ukanda huu tofauti na biashara ya utumwa.Show us!
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo
------

Tunaweze kusema historia imevunjwa. Hadi leo jumla ya watia nia 26 wamechukua fomu ambapo wanawake ni 3 na wanaume 23.

Kwa hali hii idadi inaweza kuongezeka.
Swali langu siku zote ni; Je, hii idadi kubwa Zanzibar ni kupabuka kwa demokrasia au kupungua kwa uaminifu baina ya viongozi?

Asante
Kama vipi wazanzibar wote wachukue fomu
 
Hadi sasa hivi CCM - Zanzibar imeishapata Milioni 26, hongera na kila heri Mtia nia Urais Ndg. Fatma Kombo
 
Back
Top Bottom