Zanzibar 2020 Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

Zanzibar 2020 Namba 26: Mwanamke wa tatu, Fatma Kombo Masoud achukua fomu ya kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

Nami ni Mtanganyika sikubaliani na huu muungano.Ila kusema Znz itapata maendeleo zaidi baada ya kujitenga na Tanganyika ni kujidanganya.

Hapana. Kabla ya muungano tuliishi vizuri tu na znz ilikuwa mbele kuliko hata Tanganyika. Hatujidanganyi abadan. We have evidence pitia statistics za kiuchumi hususan import/ export trade za miaka ya nyuma za Zanzibar na uone jinsi tulivyokuwa tunapaa kiuchumi.

Kuna mambo yanafanyika ndani ya muungano ya kuidumaiza znz na tukiuongea tunakuwa silenced. tupeni nafasi na fursa muone ma wallah mtakuja kusoma kwetu mbinu za economic transformation maana nyiinyi ni ndugu zetu.
 
Ndugu zangu hao wengine lengo lao hasa sio Urais bali ni uwaziri tu. Wanatumia hio nafasi waonekane kama wanaweza hivyo wakati wa kuchagua baraza la mawaziri bila shaka tochi itawamulika.
 
Hata ya Urais wa JM kupitia CCM ingekuw sh ngapi watu wangechukuwa sema imeprintiwa moja.
Let's talk reality.... CCM katika mchakato Urais bara mambo yako wazi hasa awamu ya pili ya mgombea aliyeshinda awamu tangulizi. Mgombea huyo atapita bila kupingwa ila atachukua fomu kuomba udhamini (kuaminiwa) kwa uanachama (hii ni kanuni)
 
Nami ni Mtanganyika sikubaliani na huu muungano.Ila kusema Znz itapata maendeleo zaidi baada ya kujitenga na Tanganyika ni kujidanganya.
Zanzibar ilikuwa imeendelea Sana kiuchumi kabla ya Mapinduzi ya 1964..

Sasa unataka kuniambia kuwa maendeleo iliyopata Zanzibar wakati wa utawala wa Sultan yaliletwa na Tanganyika?..

Muungano umeirejesha Zanzibar nyuma kimaendeleo,kwa huu wakati tulionao,bidhaa kutoka Pakistan au Dubai inauzwa kwa bei rahisi pale Zanzibar kuliko inayotoka Tanganyika

Sultan aliifanya Zanzibar Kuwa Empire,Wanamapinduzi wameifanya Zanzibar iwe ombaomba..

By the way Duniani kulikuwa na Empire nne tu, Zanzibar ikiwa moja wapo..

Kwa Majina Kulikuwa na Roman Empire, British Empire,Otuman Empire na Zanzibar Empire..

Tafakari,...
 
Zanzibar ilikuwa imeendelea Sana kiuchumi kabla ya Mapinduzi ya 1964..

Sasa unataka kuniambia kuwa maendeleo iliyopata Zanzibar wakati wa utawala wa Sultan yaliletwa na Tanganyika?..

Muungano umeirejesha Zanzibar nyuma kimaendeleo,kwa huu wakati tulionao,bidhaa kutoka Pakistan au Dubai inauzwa kwa bei rahisi pale Zanzibar kuliko inayotoka Tanganyika...
Hizo empire zipo wapi sahivi?
 
Zanzibar ilikuwa imeendela Sana kiuchumi kabla ya Mapinduzi ya 1964..

Sasa unataka kuniambia kuwa maendeleo iliyopata Zanzibar wakati wa utawala wa Sultan yaliletwa na Tanganyika?..

Muungano umeirejesha Zanzibar kimaendeleo,huu wakati tulionao,bidhaa kutoka Pakistan au Dubai inauzwa kwa bei rahisi pale Zanzibar kuliko inayotoka Tanganyika

Sultan aliifanya Zanzibar Kuwa Empire,Wanamapinduzi wameifanya Zanzibar iwe ombaomba..

By the way Duniani Kuna kulikuwa na Empire nne tu, Zanzibar ikiwa moja wapo..

Kwa Majina Kulikuwa na Roman Empire, British Empire,Otuman Empire na Zanzibar Empire..

Tafakari,...

safi sana Chabuso.. Waelimishe hao. Kama wanapenda kujua history waache waende pale archives Kilimani wakatafute taarifa za uchumi wa znz zipo tele na utashangaa.
 
Hazipo Tena.. hazipo kwasababu Dunia imekuja na mtindo mpya wautawala..

Roman Empire,hawa walikuwa Wataliana,British Empire hawa walikuwa Waingereza,Otuman Empire hawa walikuwa Waruruki,Zanzibar Empire hawa Walikuwa Waswahili wa Zanzibar

Chakushangaza Nchi zote nilizozitaja hapo juu ziko vizuri isipokuwa Zanzibar

Je tuseme kwasababu Waafrika hatuwezi kujiongoza,au kuna sababu nyengine..

Tafakari...

Hizo empire zipo wapi sahivi
 
Ni hilo limefanywa makusudi ili ionekane znz ni inferior territory mbele ya mkoloni mweusi. Msione kuwa mambo hayabadilili. Kutatokea vuguvugu kubwa sana la kudai Zanzibar nationalism and history will tell. Tunaumia tukiona kuwa ukoloni huu unavyodumaza development kule kwetu. we lost our country, culture, history, identity na mengionetel.

Naililia znz
Naichukia ccm, lakini kama Dubai wangekuwa na akili Kama zako wasingekuwa Kama walivyo sasa
 
Hazipo Tena.. hazipo kwasababu Dunia imekuja na mtindo mpya wautawala..

Roman Empire,hawa walikuwa Wataliana,British Empire hawa walikuwa Waingereza,Otuman Empire hawa walikuwa Waruruki,Zanzibar Empire hawa Walikuwa Waswahili wa Zanzibar

Chakushangaza Nchi zote nilizozitaja hapo juu ziko vizuri isipokuwa Zanzibar

Je tuseme kwasababu Waafrika hatuwezi kujiongoza,au kuna sababu nyengine..

Tafakari...
Kulinganisha {Rome,Great Britain,Ottoman} na utawala wa Zanzibar ni kichekesho cha mwaka!
 
Zanzibar wajanja wameshitukia mbinu za bara za kuwachomekea vibaraka,sasa ni dhahiri hawataki utwana was bara
 
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fatma Kombo Masoud amekuwa mwanamke wa tatu kujitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea urais wa #Zanzibar

Fatma anafanya idadi ya watia nia kupitia Chama cha Mapinduzi hadi sasa kufikia 26 visiwani humo

Huyu dada mzuri wasifu wake ni upi?.Jee ana mume.
 
Let's talk reality.... CCM katika mchakato Urais bara mambo yako wazi hasa awamu ya pili ya mgombea aliyeshinda awamu tangulizi. Mgombea huyo atapita bila kupingwa ila atachukua fomu kuomba udhamini (kuaminiwa) kwa uanachama (hii ni kanuni)
Hicho ambacho kipo wazi ni utamaduni au katiba ?
 
Back
Top Bottom