Zanzibar 2020 Namba 5: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar

Mbona hili liko wazi nafasi ni kwa sheikh. Makame Mbalawa!!
 
Allah atamfanyia atamfanyia wepesi Dr. Hussein na atakuwa rais ajaye wa zanzibar in 20 days time
 
Nawaza tu jinsi CCM watakavyomfanya huyu mwana mfalme.. anaetaka kurithi nchi..

CCM haina mwenyewe.. watakavyomfanya dodoma hataamini
 
Kila la heri Dr. Mwinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…