ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Wewe unaamini kama kuna chama kinaitwa CUF?Hizi hadithi tumeanza kuzisikia toka mwaka 1995 na hakuna chochote kimetokea.
Kuna wakati upinzani zanzibar umekuwa na nguvu kuliko mwaka 1995 na 2015?
Mafigisu ya Zanzibar yalikuwa yanazimwa na Tanganyika kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Magharibi. Lakini kuanzia 2016 hali imebadilika na eti mabeberu kuwa maadui zetu. Zanzibar ikinyimwa misaada huwa inabebwa na Tanganyika. Kwa sasa Tanganyika yeynyewe iko hoiiii!