Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu ndo rais sasa
Dr. Hussein Mwinyi ni kiongozi wa pekee aliyeonyesha umahiri wa ajabu na nidhamu isiyo na mfano hata baada ya kukaa kwa muda mrefu sana kwenye nafasi za juu za uongozi. Kwakweli kwa mtu mwenye dhamira njema atakubaliana nami kuwa hicho ni kipaji. Very humble, obidient, understanding, asiye jikweza pamoja na kutoka kwenye familia ambayo imepata previllage ya kutoa Rais wa awamu ya pili, yet he maintained his composure...Siyo rahisi na ni wachache wa namna yake.
All the best kiongozi na Mungu akutangulie katika adhma yako hii njema ya kuwania nafasi ya juu zaidi huko Zanzibar, naamini Mungu hatakuacha wala kukupungukia.
Haki wanayo, kwani wamekatazwa kugombea? Au hao ambao baba zao walikua viongozi katiba haiwaruhusu kugombea?
Choice yangu mimi ni Prof Mbarawa.
Huyu baba ni jembe jmani. Wazanzibar wamshawishi huyu baba achukue form. Anaju kazi na pia hajikwezi.. Yuko simple and humble... Ataipeleka Zanzibar mbali..
Nimefurahi sana. Aje arejeshe umoja wa kitaifa. Ninaamini hatakuwa anagawa watu kikanda na kuwabagua na kuwatusi na kuwasimanga hadharani. Vyeo atatoa kwa watu wote bila kubagua kanda fulani. Inshallah Hussein uliyekuzwa kimaadili.Ni miaka mitano then ataswitch kuja URT kama amiri jeshi mkuu wa URT from 2025-2030, like father like son. Bonge la Rais, amepikwa na akapikika.Kudos Daktari
Hii ngumu kumeza. Labda baada ya miaka 1000Awamu ijayo Rais wa Zanzibar atakuwa mkristu.
Kifupi anacho kitambulisho na ana makazi Zanzibar na huwa wanakuwa huko pia. Kikubwa hana showoff hivyo yatakuwa Zanzibar hutadikiakelele. Anakuja mara kibao tu na familia hasa mkek wake kwa sasa maana watoto wanasoma nje.Wanamuogopa au? huyu si mzaliwa wa Tanganyika? Lile sharti la Awe mkaazi za Zanzibar na awe na Kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi
You hit the nail. Halafu siyo mbwembwe kwake maana uongozi alishauzoea. Na busara tele. Ninaamini hawezi kuwa mtu wa vinyongo na visasi.Mkuu Bora huyu awe raisi, amekulia kwenye mazingira ya uongozi, hawa wengine akina kajambakoti wakipewa madaraka ni wasumbufu sana, nadhani mifano unaijua.
Mtoto wa shein anaitwa nani?Huyo ndio mbadala wa shein
Zanzibar kwa umwinyi ni balaa next time atakuw mtoto wa shein
Umezaliwa lini mdogo wangu?Acha zako wewe ubunge ndio urais?
Nan kakwambia nyerere alikuw mbunge?
Akitulia atakuwa Ally Karume ila kwa sasa Mwinyi ndiyo atakuwa Rais kwa sababu ya utulivu wake watoto wa Karume amewachafulia sana dada yao Fatuma kwa umalaya wake na kubwabwaja hovyo kila uchao utadhani hakulelewa na Mzee Karume.Huyo ndio mbadala wa shein
Zanzibar kwa umwinyi ni balaa next time atakuw mtoto wa shein
Vipi Makame Mbawala Kachukua Form?Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.
Mtumbuizaji Ni mtoto wa Khadija kopa, maji hufuata mkondoHuyo ndio mbadala wa shein
Zanzibar kwa umwinyi ni balaa next time atakuw mtoto wa shein