Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu ID yako oG ni ipi ili nijue najibishana na nani? kina faiza wengi humu asee.Badala ya kuleta jeuri hapa, wahi kwa mtoa huduma ukazifunge hizo laini. Ila ujue sheria ni msumeno, kama zimehusika kwenye uhalifu wowote basi wewe ndio mhalifu mwenyewe.
Matusi hapa jukwaani hayatakusaidia chochote.
Nimemaliza kukusaidia kwa taarifa. Ukitaka endelea na jeuri yako vijana wa sirro wapite na wewe.hebu ID yako oG ni ipi ili nijue najibishana na nani? kina faiza wengi humu asee.
mimi nimekerwa na kutumika NIDA yangu we unakuja na mambo ya uhalifu kwamba nione najibishana na KOVA
Ndivyo wanavyofanya hivyo. Tena wale wanaopita majumbani ndiyo wabaya. Wakijifanya wanasajiri bure, kumbe vya bure vina gharama.Finger print yako walipata wapi? Wewe wakala kakuona zoba akakwambia urudie kuweka kidole mara nyingi kumbe anasajili laini nyingi.
Hamna ubabe wowote. Nimekupa tahadhari na hatari iliyopo wewe unakuwa mbishi.nashukuru pia kwa ubabe wako
Mie mbona nilimuendea hewani alosajiliwa Kwa kitambulisho changu. Akaanza nieleza kuwa alisajiliwa Kwa wakala shilling elfu 10. Akaanza nibembeleza kuwa tukutane tumuone yeye siyo mtu mbaya. Nikasema nooo, nikaenda Airtel shop nikaiondoa, ndo mwsho wake wa kuwa hewani.. Ila Sasa hivi wameelimika, ukiingia tu Kwa hiyo menu Kuna sehemu pia ya kuiondoamkuu labda kipindi cha kurasimisha line mtandao ulikuwaga shida maana wengi ndio walikuwa wanasajili pale nakumbuka ndio nilirudia kama mara mbili nayo ni baada ya kuonekana haija aceptiwa kutokana na mtandao
Sikupingi, hii kitu ipo. Hata Mimi imenikuta vizuri tu. Sema nilienda Airtel shop nikaiondoamkuu unajiona mjanjaaa ila kuna mahala utashikwa,,, alichosema ni kweli,,, kipindi kile ukisajili ilikuwa inagomagoma ukibonyeza zile namba kuhakiki kama ushasajiliwa unakuta bado inakulazimu usajili tena hii kitu kama haikukuta basi ukae kimya na janjajanja yako.
asante mkuu nimejaribu imegoma nimeelekezwa niende ofisini so naenda jumatatu.Mie mbona nilimuendea hewani alosajiliwa Kwa kitambulisho changu. Akaanza nieleza kuwa alisajiliwa Kwa wakala shilling elfu 10. Akaanza nibembeleza kuwa tukutane tumuone yeye siyo mtu mbaya. Nikasema nooo, nikaenda Airtel shop nikaiondoa, ndo mwsho wake wa kuwa hewani.. Ila Sasa hivi wameelimika, ukiingia tu Kwa hiyo menu Kuna sehemu pia ya kuiondoa
Ni namna gani ninaweza kufahamu kama finger print yangu au NIDA imesajiri laini ambazo siusiki nazo ?Sikupingi, hii kitu ipo. Hata Mimi imenikuta vizuri tu. Sema nilienda Airtel shop nikaiondoa
Hazifutiki aiseeFuta hizo namba nyjngine mbona rahisi tu
yo nibebe pesa kabisa,, km namba 5 elfu tano.Hazifutiki aisee
Me nilishakuta namba ambazo sizijui.. nikajaribu kufuta kwa namna ile iliyokuwa inasemekana zamani. Hazifutiki
Mpaka wakala, na wakala namba 1 anakufutia na buku
Ofisi za mtandao husika sijui, ila mie mwaka jana nilifuta kwa wakala. Namba 2 kwa 2k😳 kwahi
yo nibebe pesa kabisa,, km namba 5 elfu tano.
hivi nikitaka kushtaki nafanyaje?
Nitajitahidi…nenda kafute
hivi ukitaka kushtaki unafanyaje?