min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hahahah mimi mzee mkuuUmeguna nini? Wakati jamaa anamiliki line ya simu we ulikuwa huchagui pa kunya.๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah mimi mzee mkuuUmeguna nini? Wakati jamaa anamiliki line ya simu we ulikuwa huchagui pa kunya.๐๐๐๐
We Kaa pembeni tu๐๐Mhmmm
Kwamba hapo 2008 ni zamani?We Kaa pembeni tu๐๐
We huogopi mzee๐Kwamba hapo 2008 ni zamani?
Nilianza tumia Philips mkuu usinichukulie poa mkuu๐We huogopi mzee๐
Kwenye utunzaji wa kumbukumbu najiweza aisee๐ค๐คWatu mnstunza karatasi bado mpya๐
Sina kikaratasi ata kimoja ila laini ya miaka ile nikiwa na kimotorora changu kinapiga kelele iko๐๐๐Kwenye utunzaji wa kumbukumbu najiweza aisee
17 Umri wa mtu kabisa, inabidi huo mtandao wakulipe.2008
Kuwa mjanja pata buzz๐๐Buzz ni bomba
Kuna mwenzako nimemuonya aache tabia ya kutukana watu mtandaoni iko siku utamtukana kibenten wa mamaakoSema ukiwa form 1C we mujahidina.
4m 6 ndo umemaliza 2016? Woiiiiiih24/06/2016 baada ya kumaliza harakati flan iliyokua inanizuia kumiliki simu
Ikawa 0754 bila shaka2003 Vodacom 0744 mshahara wangu wa kwanza naanza kazi,nikachukua Samsung