Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2005 baada ya kupata mshahara wangu wa kwanza nikiwa mwalimu pale kiponzelo secondaryMimi nilianza kuitumia mwaka 2008 enzi hizo unasajili bila NIDA na ndiyo laini yangu kuu mpaka leo yaani takribani miaka 16 sasa!
Ya kwako umeanza kuitumia mwaka gani?
ulianza kumiliki simu ukiwa na miaka 12 !2012
Line hizi 2, siwezi zipoteza kamweee. Ilipotea nka renew.
Line 2012.ulianza kumiliki simu ukiwa na miaka 12 !
inashangaza
ahaa... ulianza na line kwanzaLine 2012.
Cm 2013 December.
Nilisajiriwa line na ndugu, na nilikua natumia kwa cm yake.ahaa... ulianza na line kwanza
Duh haya ndio malipo kwetu mbn kasheshe 🤣🤣🤣Kweli aisee, mimi voda wamenila sana hela zangu, kwa mara ya kwanza voda nimeitumia 2007 .
Mpesa kuweka na kutoa na kutuma heka,muda wa maongezi kupiga sim sms dana na kutuma salio kwangu haipungui milioni 70 mpaka 50 kama faida kutoka kwangu, ndio maana hawaachagi kunitakia siku njema ya kuzaliwa kila mwaka.
Afadhali wew humu Kuna watu wameanza kumiliki lain na simu wakat nasoma darasaxla Tatu 😂😂Line 2012.
Cm 2013 December.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee shangaziiii.Afadhali wew humu Kuna watu wameanza kumiliki lain na simu wakat nasoma darasaxla Tatu [emoji23][emoji23]
Tuna wazee wenye uwalaza aunt🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee shangaziiii.