Namba yako ya simu unayotumia sasa ulianza kuitumia mwaka gani?

Namba yako ya simu unayotumia sasa ulianza kuitumia mwaka gani?

Mimi nilianza kuitumia mwaka 2008 enzi hizo unasajili bila NIDA na ndiyo laini yangu kuu mpaka leo yaani takribani miaka 16 sasa!

Ya kwako umeanza kuitumia mwaka gani?
2005 baada ya kupata mshahara wangu wa kwanza nikiwa mwalimu pale kiponzelo secondary
 
Kweli aisee, mimi voda wamenila sana hela zangu, kwa mara ya kwanza voda nimeitumia 2007 .
Mpesa kuweka na kutoa na kutuma heka,muda wa maongezi kupiga sim sms dana na kutuma salio kwangu haipungui milioni 70 mpaka 50 kama faida kutoka kwangu, ndio maana hawaachagi kunitakia siku njema ya kuzaliwa kila mwaka.
Duh haya ndio malipo kwetu mbn kasheshe 🤣🤣🤣
 
Nina madeni mengi, hii nimeanza kuitumia mwezi wa pili , nafikiria nitafute nyingine tena
 
Back
Top Bottom