Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Hapo tritel enzi hizo wanachuana na mobitel ambayo ndo tigo sasa, walikuwa na tangazo lao la njiwa anaruka alafu jogoo linabaki linademadema ikatafsiriwa kama dongo Kwa mobitel kwamba tritel ni njiwa alafu mobitel ni jogoo haliwezi kuruka enzi hizo mobitel alikuwa analogy huku tritel alikuwa digitalTritel ilikuwa na cc640 nc01 ndio mtandao wa kwanza kusajiliwa hapa tz, mobitel ulikuwa wa pil kusajiliwa ukapata namba cc640 nc02, nc03 nafikir ni zantel, 04 vodacom 05 ni celtel baada ya hapo vurugu ikazidi akina sasatel walikuja wakapotea, sasatel alianza na masafa ya 3G pekee yaani hata kiswaswadu kiwe cha 3G, alikuja na tech kubwa kabla ya muda, yakamshinda
2008 mpaka leoMimi nilianza kuitumia mwaka 2008 enzi hizo unasajili bila NIDA na ndiyo laini yangu kuu mpaka leo yaani takribani miaka 16 sasa!
Ya kwako umeanza kuitumia mwaka gani?
Tuandamane ili watulipe tushawaingizia pesa nyingi 😂😂17 Umri wa mtu kabisa, inabidi huo mtandao wakulipe.
2001Mimi nilianza kuitumia mwaka 2008 enzi hizo unasajili bila NIDA na ndiyo laini yangu kuu mpaka leo yaani takribani miaka 16 sasa!
Ya kwako umeanza kuitumia mwaka gani?
Kweli aisee, mimi voda wamenila sana hela zangu, kwa mara ya kwanza voda nimeitumia 2007 .Tuandamane ili watulipe tushawaingizia pesa nyingi 😂😂