Namfahamu RPC Mallya tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti utakatifu wa kupakaπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Unashida ktk kufikiri
 
Yuko sahihi sana huyu mama.....kwa aliyeangalia ile clip kwa kutulia bila mihemuko utaligundua hili.....yule dada alikuwa akitoa ushirikiano kabisaaaaa
Hovyo kabisa wewe, watanzania tutasimama na yule dada hadi haki yake ipatikane and nakuhakikishia kwa jinsi watu wanavyolifuatilia hili swala yoyote atakayejaribu kutetea ule ushenzi au kuvuruga ushahidi hata raisi hatokubali ataliwa kichwa tena faster
 
Sawa ila huo ni mtizamo wangu......na naongezea yule dada alikuwa kahiyari mwenyewe na inaonekana ilikuwa ni planned video clip
Hata mimi hadi leo nahisi ni kitu ilipangwa. Ila tu ni propaganda kuzima ishu gani hapo ndo bado sijang'amua.
 
Mkuu upo unaota mchana na jua lote hili.....eti watanzania🀣🀣🀣watanzania wa wapi???? Hawa hawa mazwazwa yasiyohoji yenyewe kila kitu sawa tu....
 
Dunia hii....

#Kila mtu ANASTAHILI heshima ya KUTAMBULIWA na KUTHAMINIWA UTU wake....

#Utu
 
Anatakiwa naye atafutiwe vijana kama wale na mwezake FATMa

Nao,wabokoleweeee na waombe msamaha...harafu tuje nao tuwambie mlikuwa mnajiuza
 
Huyo RPC ndiyo kielelezo sahihi cha walivyo hawa tuliowapa jukumu la kulinda raia na mali zetu.

Nashukuru sana Mungu kwa kutokuwa na ndugu kwenye ukoo wetu aliyepo huko kwenye hilo genge la waovu wenye sare.
Mama kajaza matope kichwani.kesi haijafika mahakamani unatoa suluhisho kuwa wavute bangi na malaya 1.alijuaje kama ni wavuta bangi?
 
Kah! kwahiyo anayejiuza inaruhusiwa kubakwa? kwahiyo ile video wameichakachua? huyo mama si ndo anajifanyaga anaijua vifungu vya biblia sana
Kweli polisi ni polisi tu.. ukimwangalia tu usoni unauona unafiki wa wazi kabisa.
 
Usikute washakaa vikao na binti/ ndugu zake na kulimaliza kwa vipande vya fedha

Kama ulikuwapo, ndio maana haraka sana walizuia waandishi kumhoji, ili waweze ku control the narrative. Sasa huyu anajua jalada liko tayari anatoa tamko kuuandaa umma kuwa alikuwa malaya. anasahau kuwa video ilikuwa na sauti na kila kitu kilikuwa wazi. kifupi hapa wanajaribu kumlinda askari mwenzao aliowatuma wale vijana.
 
Kabisa kuna mambo yanaendelea yanalivua nguo jeshi la polisi. Tatzo ni mfumo
Wewe angalia tu hata hile ishu ya kina tundu lisu, mbilinyi kupigwa na polisi na hakuna kosa lolote la jinai kisa mikusanyiko tu, yani jeshi la polisi sio la kukimbilia, ogopa sana taasisi zenye mamlaka fulani ya kusimamia kisheria huwa zina mabavu, rushwa, sub standard, yani its a corrupt system hutoboi ukisimamia haki
 
Ni vigumu kwa Polisi kuanzia IGP wao hadi polisi wa mwisho kuuona ufalme wa Mungu, kwakuwa tayari Bwana Yesu alisha wajua na akawaonya

Luka 3:14 BHN​

Shirikisha
BHNSUVNenoSRUV
Nao askari wakamwuliza, β€œNa sisi tufanye nini?” Naye akawajibu, β€œMsichukue vitu vya mtu yeyote kwa nguvu wala kumshtaki yeyote kwa uongo. Toshekeni na mishahara yenu.”
 
Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendaniπŸ₯±
Umesahau aliyetuma wamfanyie ukatili pia ni Mwanamke... Ila waliotekeleza ukatili ndio Wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…