Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Utaishia kupotezewa muda tu haki hakuna, uonevu unazidi kushamiri kila uchwao na hawachukui hatua yeyote kudhibiti hali hiyo. Sijui tunaelekea wapi kama taifa.Wewe angalia tu hata hile ishu ya kina tundu lisu, mbilinyi kupigwa na polisi na hakuna kosa lolote la jinai kisa mikusanyiko tu, yani jeshi la polisi sio la kukimbilia, ogopa sana taasisi zenye mamlaka fulani ya kusimamia kisheria huwa zina mabavu, rushwa, sub standard, yani its a corrupt system hutoboi ukisimamia haki
Kuna jamaa mmoja hivi ni in charge kituo fulani hivi, alipewa ishu ya kunizingua jamaa kapiga simu akiniambia ananihitaji kituo cha polisi kuna tuhuma zangu za kujibu nikashangaa tuhuma zipoli hizo, basi nikagoma kuitikia wito jamaa ikabidi anitafute popote nilipo sio kaizni sio nyumbani ili tu anitie adabu, nilimpelekea moto hakuamini nginja nginja mpaka akaomba samahani, lakini hapo ni baada ya kunidhalilisha sanaUtaishia kupotezewa muda tu haki hakuna, uonevu unazidi kushamiri kila uchwao na hawachukui hatua yeyote kudhibiti hali hiyo. Sijui tunaelekea wapi kama taifa.
Kutaka kuwalinda watuhumiwaKosa lake ni nn hapo ?
Nadhani watanzania sisi ni wepesi sana wa kuhukumu. Huyo mwandishi wa habari aliyemuhoji angetuwekea clip ya mazungumzo yao maana wakati mwingine waandishi wetu wa habari hawana weledi wanauliza maswali ili wapate majibu wanayotaka wao. Pengine huyo Afande hakuzungumza ama hakumaanisha kilichoripotiwa.Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia
Tatizo lao hao wanatumika sana na wakubwa na wenye pesa. Mimi huwa sitaki ukaribu kabisa na hao jamaa maana hawafai.Kuna jamaa mmoja hivi ni in charge kituo fulani hivi, alipewa ishu ya kunizingua jamaa kapiga simu akiniambia ananihitaji kituo cha polisi kuna tuhuma zangu za kujibu nikashangaa tuhuma zipoli hizo, basi nikagoma kuitikia wito jamaa ikabidi anitafute popote nilipo sio kaizni sio nyumbani ili tu anitie adabu, nilimpelekea moto hakuamini nginja nginja mpaka akaomba samahani, lakini hapo ni baada ya kunidhalilisha sana
Huna akili.Yuko sahihi sana huyu mama.....kwa aliyeangalia ile clip kwa kutulia bila mihemuko utaligundua hili.....yule dada alikuwa akitoa ushirikiano kabisaaaaa
Sasa polisi wamekanusha na huyo mama kapelekwa benchi. Sasa mtetee tena. Mjinga sana wewe.Acheni kuhukumu watu bhn uyo mama hajasimama yey kama yey apo ayo maelezo aliyoyatoa ni ya tasisi na sio utashi wake.
Rais ni Mwanamke na RPC ni Mwanamke na aliyefanyiwa ukatili ni Mwanamke!!!
Kumbe ni kweli wanawake hawapendani🥱
Unamjua afande Suzan Kaganda? She's pure Talented Police Service Woman, Mungu ambariki sana popote pale alipoHakuna polisi wa maana hata mmoja Tanzania usidanganywe hata Benjamini Kuzanga wa Mbeya ni maigizo tupu
Wamemtoa buzi wa kafara tu mama wa watu hakua na kosa ata mmojaSasa polisi wamekanusha na huyo mama kapelekwa benchi. Sasa mtetee tena. Mjinga sana wewe.
Kwani kafanya nini?Kila mlipomsifu kwa utu na kujali raia hasa wanawake neno langu lilikuwa moja Tu, "HAMUMJUI". Namfahamu tangu akiwa msaidizi wa Mkuu wa Matrafiki kipindi kile ilivuma clip mitandaoni aliposikika akimfokea Askari wa kike aliyedhalilishwa na dereva aliyesema ni "Mtu wa afande". Kama sikosei Askari wa kike alikuwa wa Manyara na sidhani kama hakufukuzwa kazi au kuondolewa trafiki.
Baadaye nikamsikia Rukwa na kisha Songwe. Huyu ni Mtu show off, mwanamke wa matangazo na utakatifu wa kupaka rangi. Bwana asifiwe na kukariri vifungu vya biblia viliwapumbaza wengi Sasa amewaonyesha rangi yake halisi kwamba yale anaoonyesha kwenye media kama yuko tofauti na mapolisi wengine waliozoea kubadili uhalisia Kwa faida yao au ya taasisi yao.
Tusiweke Imani juu ya Wahalifu watakatifu.