Namfananisha Tundu Lissu na Mwanasiasa wa Venezuela, Juan Guaido

Namfananisha Tundu Lissu na Mwanasiasa wa Venezuela, Juan Guaido

Baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, nayaona yaliyojitokeza venezuela yakitokea kwa Mwanasiasa Tundu Lissu.

Namfanisha Tundu Lissu na mwanasiasa wa Venezuela, Juan Guaido ambaye alitumiwa sana na wanasiasa wa Marekani ili kumuondoa Rais Nicolas Maduro wakitegemea ana uwezo na nguvu za kisiasa kwa wananchi wengi lakini baadaye ikagundulika hana uwezo au nguvu hizo. Wanasiasa wa Marekani walimtambua kama ndiye Rais mtarajiwa wa Venezuela lakini baada ya kugundua hana uwezo na nguvu za kisiasa wakaachana naye. Wabunge wa kambi yake ya upinzani pia wakamuondoa kwenye kiti cha Rais wa bunge la Venezuela!

Wamarekani kwa sasa wanasema wanaandaa/kutayarisha mtu mwingine baada ua utawala mpya wa Joseph Biden au watakaa na serikali ya Maduro ili kufanya maongezi ya kisiasa.

Tundu Lissu naye ataachwa kimya kimya kama ilivyotokea kwa Juan Guaido kwa sababu wafanyabiashara wa kisiasa wa kimataifa hawana urafiki wa kudumu bali wana maslahi/manufaa ya kudumu.

Kushindwa kwa Tundu Lissu kuingia Ikulu au kufanikisha maandamano nchini ilikuwa ni ishara tosha kuwa hana ushawishi mkubwa na kwa msingi huo hawezi kubadilisha sura ya kisiasa nchini. Kutobadilisha sura ya kisiasa nchini ni gharama ambayo wafanyabiashara za kisiasa wa kimataifa hawawezi kuendelea kuibeba kwa muda mrefu.

Wafanyabiashara hawa wa kisiasa kwa sasa watakachofanya wataanza tena kujipendekeza kwenye serikali ya Rais Magufuli ili wapate fursa za kibiashara kwa gharama ambayo angalau ni kidogo ukilinganisha na gharama za Tundu Lissu kama ''lame duck'' politician!

Kuna dhana inajengwa eti kuwa Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi. Hakuna cha vikwavyo vya kiuchumi bali kilichoko ni ‘’competing economic interest and benefit’’ kwa baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa hasa Marekani na Kanada. Kelele za baadhi ya wanasiasa wa Marekani ni baada ya Symbion Power Tanzania Ltd (SPTL) kupigwa ‘’kufuli’’ na serikali. Serikali ilikuwa inalipa zaidi ya Tsh bilioni 700 kwa mwaka kwa haya makampuni (Symbion, IPTL na Aggreko).

Tanzania kama nchi ingewekewa vikwazo vya kiuchumi kama tungekuwa tumewafukuza wawekezaji wa nje kama alivyofanya Rais Robert Mugabe. Yaani utawekewaje vikwazo wakati makampuni makubwa ya kimataifa ya uwindaji, gesi na madini bado yanaendelea kuvuna faida nchini huku yakisafirisha madini kwenye masoko ya nchi zinazodaiwa zitaweka vikwazo.

Hata ‘’Targeted individual sanctions’’ kwa wanasiasa wa Tanzania ni kupoteza muda tu kwa sababu wanasiasa wenyewe hata kusafiri nje ya nchi hawasafiri na pia hawana hata ‘’big asset’’ kwenye nchi inayosemekana itaweka vikwazo! Ndiyo yaleyale ya Makonda kuwekewa vikwazo huku akiendelea kudunda mitaani!

Kama huzijui siasa za kidunia utaendelea kucheza mapambio ya wanasiasa ambao kwa sasa ni ''lame duck'' mpaka 2025!
Lissu is finished as a politician, chama tawala hapa Tanzania wameshajuwa kuwa jamaa ni kibaraka wa wazungu na usikute watu wanaomzunguka ndiyo wanaotoa ripoti hiyo. Nani anataka kuona Tanzania inaibiwa au kuwa uwanja wa fujo mnufaika ni Lissu na familia yake pekee?
 
Utopolo mtupu. Sioni hata mtu mmoja kwenye saccos ya Mbowe mwenye sifa za Juan. Kufanya harakati sio maigizo jombaa, ni kujitoa mhanga hasa. Maandamano yasiyo kikomo yako wapi?. Maandamano ukuta yako wapi?. Mbona mnakimbilia Kenya, wengine mwajificha ubalozini why?. Halafu punguani Moja linasema you know, maisha yangu na familia yanaumuhimu sasa kuliko kipindi chochote kile. Yani maisha yako ni muhimu kuliko wananchi unaowataka waingie barabarani si upuuzi kabisa.
 
Baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, nayaona yaliyojitokeza venezuela yakitokea kwa Mwanasiasa Tundu Lissu.

Namfanisha Tundu Lissu na mwanasiasa wa Venezuela, Juan Guaido ambaye alitumiwa sana na wanasiasa wa Marekani ili kumuondoa Rais Nicolas Maduro wakitegemea ana uwezo na nguvu za kisiasa kwa wananchi wengi lakini baadaye ikagundulika hana uwezo au nguvu hizo. Wanasiasa wa Marekani walimtambua kama ndiye Rais mtarajiwa wa Venezuela lakini baada ya kugundua hana uwezo na nguvu za kisiasa wakaachana naye. Wabunge wa kambi yake ya upinzani pia wakamuondoa kwenye kiti cha Rais wa bunge la Venezuela!

Wamarekani kwa sasa wanasema wanaandaa/kutayarisha mtu mwingine baada ua utawala mpya wa Joseph Biden au watakaa na serikali ya Maduro ili kufanya maongezi ya kisiasa.

Tundu Lissu naye ataachwa kimya kimya kama ilivyotokea kwa Juan Guaido kwa sababu wafanyabiashara wa kisiasa wa kimataifa hawana urafiki wa kudumu bali wana maslahi/manufaa ya kudumu.

Kushindwa kwa Tundu Lissu kuingia Ikulu au kufanikisha maandamano nchini ilikuwa ni ishara tosha kuwa hana ushawishi mkubwa na kwa msingi huo hawezi kubadilisha sura ya kisiasa nchini. Kutobadilisha sura ya kisiasa nchini ni gharama ambayo wafanyabiashara za kisiasa wa kimataifa hawawezi kuendelea kuibeba kwa muda mrefu.

Wafanyabiashara hawa wa kisiasa kwa sasa watakachofanya wataanza tena kujipendekeza kwenye serikali ya Rais Magufuli ili wapate fursa za kibiashara kwa gharama ambayo angalau ni kidogo ukilinganisha na gharama za Tundu Lissu kama ''lame duck'' politician!

Kuna dhana inajengwa eti kuwa Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi. Hakuna cha vikwavyo vya kiuchumi bali kilichoko ni ‘’competing economic interest and benefit’’ kwa baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa hasa Marekani na Kanada. Kelele za baadhi ya wanasiasa wa Marekani ni baada ya Symbion Power Tanzania Ltd (SPTL) kupigwa ‘’kufuli’’ na serikali. Serikali ilikuwa inalipa zaidi ya Tsh bilioni 700 kwa mwaka kwa haya makampuni (Symbion, IPTL na Aggreko).

Tanzania kama nchi ingewekewa vikwazo vya kiuchumi kama tungekuwa tumewafukuza wawekezaji wa nje kama alivyofanya Rais Robert Mugabe. Yaani utawekewaje vikwazo wakati makampuni makubwa ya kimataifa ya uwindaji, gesi na madini bado yanaendelea kuvuna faida nchini huku yakisafirisha madini kwenye masoko ya nchi zinazodaiwa zitaweka vikwazo.

Hata ‘’Targeted individual sanctions’’ kwa wanasiasa wa Tanzania ni kupoteza muda tu kwa sababu wanasiasa wenyewe hata kusafiri nje ya nchi hawasafiri na pia hawana hata ‘’big asset’’ kwenye nchi inayosemekana itaweka vikwazo! Ndiyo yaleyale ya Makonda kuwekewa vikwazo huku akiendelea kudunda mitaani!

Kama huzijui siasa za kidunia utaendelea kucheza mapambio ya wanasiasa ambao kwa sasa ni ''lame duck'' mpaka 2025!
ACHAKUWAFANANISHA MARAISI WA WATU NA HAWA MAKANJANJA WAZEE WA KIKI NA MAIGIZO.
 
Nipe ushahidi kwamba Lissu anatumiwa na Marekani?

Kinyume na hapo umeandika pumba tupu, mnajichekelesha kama watoto na thread zenu za kijinga.
Wajackoyah said as soon as the US embassy opens today (Monday), he will present Lema’s case as he has been in communication with the political attaché, explaining that opposition leaders in Tanzania are being persecuted.

Wajackoya and Tundu Lissu, who has been on Magufuli’s crosshairs for the last three years were fellow students at the University of Warwick in the United Kingdom.

LINK>>> Former Tanzania MP Godbless Lema arrested in Kajiado fleeing to Kenya
 
Mkuu;
Kumpangia mtu nini cha kufanya ni sehemu ya udikteta!

Wewe kama unadhani wanatakiwa waachwe basi usingetoa/kuandika mawazo yako kwenye bandiko ambalo linawafanya wasipumue!

Ulichofanya ndicho nilichofanya!

Hamuwezi kutulia? Waacheni CHADEMA na Lissu wapumue. Mbona hamuanzishi thread za Lipumba na Mrema? Au wao wameshinda?
 
Hakika huyu dogo alipandikizwa na Trump sasa hivi hajui la kufanya
Baada ya Uchaguzi Mkuu kupita, nayaona yaliyojitokeza venezuela yakitokea kwa Mwanasiasa Tundu Lissu.

Namfanisha Tundu Lissu na mwanasiasa wa Venezuela, Juan Guaido ambaye alitumiwa sana na wanasiasa wa Marekani ili kumuondoa Rais Nicolas Maduro wakitegemea ana uwezo na nguvu za kisiasa kwa wananchi wengi lakini baadaye ikagundulika hana uwezo au nguvu hizo. Wanasiasa wa Marekani walimtambua kama ndiye Rais mtarajiwa wa Venezuela lakini baada ya kugundua hana uwezo na nguvu za kisiasa wakaachana naye. Wabunge wa kambi yake ya upinzani pia wakamuondoa kwenye kiti cha Rais wa bunge la Venezuela!

Wamarekani kwa sasa wanasema wanaandaa/kutayarisha mtu mwingine baada ua utawala mpya wa Joseph Biden au watakaa na serikali ya Maduro ili kufanya maongezi ya kisiasa.

Tundu Lissu naye ataachwa kimya kimya kama ilivyotokea kwa Juan Guaido kwa sababu wafanyabiashara wa kisiasa wa kimataifa hawana urafiki wa kudumu bali wana maslahi/manufaa ya kudumu.

Kushindwa kwa Tundu Lissu kuingia Ikulu au kufanikisha maandamano nchini ilikuwa ni ishara tosha kuwa hana ushawishi mkubwa na kwa msingi huo hawezi kubadilisha sura ya kisiasa nchini. Kutobadilisha sura ya kisiasa nchini ni gharama ambayo wafanyabiashara za kisiasa wa kimataifa hawawezi kuendelea kuibeba kwa muda mrefu.

Wafanyabiashara hawa wa kisiasa kwa sasa watakachofanya wataanza tena kujipendekeza kwenye serikali ya Rais Magufuli ili wapate fursa za kibiashara kwa gharama ambayo angalau ni kidogo ukilinganisha na gharama za Tundu Lissu kama ''lame duck'' politician!

Kuna dhana inajengwa eti kuwa Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi. Hakuna cha vikwavyo vya kiuchumi bali kilichoko ni ‘’competing economic interest and benefit’’ kwa baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa hasa Marekani na Kanada. Kelele za baadhi ya wanasiasa wa Marekani ni baada ya Symbion Power Tanzania Ltd (SPTL) kupigwa ‘’kufuli’’ na serikali. Serikali ilikuwa inalipa zaidi ya Tsh bilioni 700 kwa mwaka kwa haya makampuni (Symbion, IPTL na Aggreko).

Tanzania kama nchi ingewekewa vikwazo vya kiuchumi kama tungekuwa tumewafukuza wawekezaji wa nje kama alivyofanya Rais Robert Mugabe. Yaani utawekewaje vikwazo wakati makampuni makubwa ya kimataifa ya uwindaji, gesi na madini bado yanaendelea kuvuna faida nchini huku yakisafirisha madini kwenye masoko ya nchi zinazodaiwa zitaweka vikwazo.

Hata ‘’Targeted individual sanctions’’ kwa wanasiasa wa Tanzania ni kupoteza muda tu kwa sababu wanasiasa wenyewe hata kusafiri nje ya nchi hawasafiri na pia hawana hata ‘’big asset’’ kwenye nchi inayosemekana itaweka vikwazo! Ndiyo yaleyale ya Makonda kuwekewa vikwazo huku akiendelea kudunda mitaani!

Kama huzijui siasa za kidunia utaendelea kucheza mapambio ya wanasiasa ambao kwa sasa ni ''lame duck'' mpaka 2025!
 
Wajackoyah said as soon as the US embassy opens today (Monday), he will present Lema’s case as he has been in communication with the political attaché, explaining that opposition leaders in Tanzania are being persecuted.

Wajackoya and Tundu Lissu, who has been on Magufuli’s crosshairs for the last three years were fellow students at the University of Warwick in the United Kingdom.

LINK>>> Former Tanzania MP Godbless Lema arrested in Kajiado fleeing to Kenya
Kwa hiyo kwasababu huyo wakili anakwenda kuwashtaki ubalozi wa Marekani ndio Lema/Lissu anatumiwa na Marekani?!

Stop this nonsense of yours, endelea kuwadanganya wajinga wasiojua kufikiria.
 
Jf and GT inapoteza mvuto kwa Post za kichovu kana hizi.tume huru hakuna,polisi ccm,jeshiccm,dedccm unafikiri yote wazungu hawayaoni,ila wewe??
 
Ni kushukuru tu kuwa Russia na China ndizo zilizookoa jahazi vinginevyo Maduro angeondolewa madarakani.

Lakini hali ya uchumi ya Venezuela ikoje baada ya kuwekewa vikwazo vya uchumi vya Marekani? Fuatilia vizuri.

Na huku tuzidi kumwomba Mungu mabeberu wasituwekee vikwazo! Mabeberu huwa hawashindwi.

Kwani waliotaka kumuondoa hawakujua kama kuna Russia na China?

Hali ya uchumi ni relative kwa sababu maisha yanaendelea.

Kwani umesikia kuna watu wanakufa kwa ukosefu wa chakula nchini Venezuela?

Hoja ya msingi ni kuwa Maduro bado ni Rais na Guaido kwa sasa ni "lame duck" politician!
 
Lissu kalabata Ubelgiji alafu ghafla karudi anataka Urais.

Kashindwa uchaguzi vibaya, kwa aibu kubwa sasa anataka kusepa kwa kupitia mlango wa kutishiwa maisha.

Lissu akuna wakumtishia maisha, yeye asepa kiroho safi tu, nchi yetu ahiitaji vibaraka kama yeye.

Kazunguka nchi nzima bara na visiwani akuchomwa hata mwiba asitafute visingizio.
Risasi alipigiwa nchi gani?.we jamaa Kwa kujitoa akili unaweza sana.
 
Hamuwezi kutulia? Waacheni CHADEMA na Lissu wapumue. Mbona hamuanzishi thread za Lipumba na Mrema? Au wao wameshinda?
Chadema na Lissu hawajatulia, Lipumba na mrema wametulia. Sasa chadema kila siku usanii na mnahusisha serikali na watanzania halafu tunyamaze muendelee kupotosha?
Mwambieni lema alipe pesa za watu na mwenyekiti Mbowe aliyesema anakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 aache kumsingizia ole sabaya kwa kupata kipigo Cha shoga mwizi kwenye kura za ubunge.
 
Back
Top Bottom