Kwanini..??
Nijibu kwanza hapo nilipokuuliza....Nami nitakupa majibu ya maana ya kanisa zaidi ya moja
Approval ya ulichokiandika au kukubalika au kusomeka hakuitaji wewe kujinasibu eti ni Mkatoliki...!!!
Sasa hebu niambie ni upuuzi gani huo...???
Mkuu achana nae huyo bwegemkuu acha vitisho, hili ni jukwaa huru!
alikuwa anawaambia watembee na funguo za gari za kuchonga japo hawana magariMawazo yakugawa magari kwa waumini wake.
Duuuuuh baba God, namkumbuka nilienda kujionea vituko 2013 kanisani kwake, kumbe keshapotea. Nyakato buzuruga alijenga akapaita Yerusalemu ndogo full farasiNamshauri afanye kama Mchungaji maarufu sana wa jijini Mwanza maeneo ya Kangai maarufu kama BABA GOD, yeye baada ya afya yake kuwa kama ya huyo Lusekero alipotea kabisa hadi leo hii hajulikani alipo....waumini wake ukiwauliza wanasema alienda KUZIMU, kumbe yupo sehemu anajiuguza na ARV...ila habari za ndani zinasema alishatangulia mbele ya haki, wiki ijayo nitaanzisha uzi hapa wa Baba Godi
Walishasema ni Mzee wa upakoMi huyu mzee amenipa maswali mengi bila majibu.
Hizo Pete ni za nini?
Kwanini miaka ile nliwahi kwenda kanisani kwake wahudumu wako standby wakimfosi kila alieacha macho wazi afumbe wakati wa kuabudu na ndo mda huo huo huyu mzee anaingilia kule mbele ya madhabahu. shida nini?na nliwahi ona wengine wanalalamikia hili.
Pili alikua ana kitaulo maalum pale kwenye altar mpaka maneno ya waumini yakazidi akaanza kujitetea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenichekesha japo haikustahili.Madaktari wa JF wanakuja.
They diagnose by physical outlook.
Usicheze kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zilianza kuvuma kuwa yupo hoi kitandani.....hatimaye waumini wake wakaambiwa Baba Godi ameenda kuzimu na kuna siku atarudi na nguvu kubwa ya kuondoa mapepo na kutenda miujiza mikubwa ya kutembea juu ya bahari....hadi leo tunasubiri,Duuuuuh baba God, namkumbuka nilienda kujionea vituko 2013 kanisani kwake, kumbe keshapotea. Nyakato buzuruga alijenga akapaita Yerusalemu ndogo full farasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuuh ila Baba God japokuwa alikuwa anatumia Nguvu za Giza sintomsahau mwaka 2004 mama angu Bugando Hosp aliambiwa ana kansa ya INI na akaambiwa within 6 months atakuwa kafa , alikuwa kavimba tumbo balaa, akaenda kwa baba God kuombewa tumbo likaisha akapona kurudi Bugando akaambiwa haumwi chochote, mpk Leo yupo hai na mzima wa Afya, 14 yrs nowZilianza kuvuma kuwa yupo hoi kitandani.....hatimaye waumini wake wakaambiwa Baba Godi ameenda kuzimu na kuna siku atarudi na nguvu kubwa ya kuondoa mapepo na kutenda miujiza mikubwa ya kutembea juu ya bahari....hadi leo tunasubiri,
Hahaaaa umenikumbusha mbali baba god mfalme. Kangae moja. Alienda kuzimu huyu mtumishi wa shetaniNamshauri afanye kama Mchungaji maarufu sana wa jijini Mwanza maeneo ya Kangai maarufu kama BABA GOD, yeye baada ya afya yake kuwa kama ya huyo Lusekero alipotea kabisa hadi leo hii hajulikani alipo....waumini wake ukiwauliza wanasema alienda KUZIMU, kumbe yupo sehemu anajiuguza na ARV...ila habari za ndani zinasema alishatangulia mbele ya haki, wiki ijayo nitaanzisha uzi hapa wa Baba Godi
Lusekelo alikuwa ana hadi Sunday school? Bado ipo?Mm nmesoma chekechea kanisani kwa lusekelo.lakini kipindi hicho lilikua kanisa la kawaida sana dogo yani bado kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupieni na picha zake za achieve!