Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Namhurumia Mchungaji Lusekelo, amepatwa na nini?

Kwanini..??


Nijibu kwanza hapo nilipokuuliza....Nami nitakupa majibu ya maana ya kanisa zaidi ya moja


Approval ya ulichokiandika au kukubalika au kusomeka hakuitaji wewe kujinasibu eti ni Mkatoliki...!!!

Sasa hebu niambie ni upuuzi gani huo...???

Wabongo bana, umeulizwa swali na wewe unauliza swali...Jibu then leta swali sasa na wewe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshauri afanye kama Mchungaji maarufu sana wa jijini Mwanza maeneo ya Kangai maarufu kama BABA GOD, yeye baada ya afya yake kuwa kama ya huyo Lusekero alipotea kabisa hadi leo hii hajulikani alipo....waumini wake ukiwauliza wanasema alienda KUZIMU, kumbe yupo sehemu anajiuguza na ARV...ila habari za ndani zinasema alishatangulia mbele ya haki, wiki ijayo nitaanzisha uzi hapa wa Baba Godi
Duuuuuh baba God, namkumbuka nilienda kujionea vituko 2013 kanisani kwake, kumbe keshapotea. Nyakato buzuruga alijenga akapaita Yerusalemu ndogo full farasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huyu mzee amenipa maswali mengi bila majibu.
Hizo Pete ni za nini?
Kwanini miaka ile nliwahi kwenda kanisani kwake wahudumu wako standby wakimfosi kila alieacha macho wazi afumbe wakati wa kuabudu na ndo mda huo huo huyu mzee anaingilia kule mbele ya madhabahu. shida nini?na nliwahi ona wengine wanalalamikia hili.
Pili alikua ana kitaulo maalum pale kwenye altar mpaka maneno ya waumini yakazidi akaanza kujitetea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Walishasema ni Mzee wa upako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani unapoona afya ya mwanadam mwenzako inazorota sio jambo la kushangilia sana.Mana hata wewe yanaweza kukupata..

Inasikitisha kuna kipindi cha television niliona akiojiwa alisema mwaka1990s aliwai ugua TB na alitibiwa akapona kabisa.Tatizo nadhani ni kurejea kunywa pombe kali.Huenda tatizo limemrudia.Najaribu kubahatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuuh baba God, namkumbuka nilienda kujionea vituko 2013 kanisani kwake, kumbe keshapotea. Nyakato buzuruga alijenga akapaita Yerusalemu ndogo full farasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Zilianza kuvuma kuwa yupo hoi kitandani.....hatimaye waumini wake wakaambiwa Baba Godi ameenda kuzimu na kuna siku atarudi na nguvu kubwa ya kuondoa mapepo na kutenda miujiza mikubwa ya kutembea juu ya bahari....hadi leo tunasubiri,
 
Zilianza kuvuma kuwa yupo hoi kitandani.....hatimaye waumini wake wakaambiwa Baba Godi ameenda kuzimu na kuna siku atarudi na nguvu kubwa ya kuondoa mapepo na kutenda miujiza mikubwa ya kutembea juu ya bahari....hadi leo tunasubiri,
Duuuuuh ila Baba God japokuwa alikuwa anatumia Nguvu za Giza sintomsahau mwaka 2004 mama angu Bugando Hosp aliambiwa ana kansa ya INI na akaambiwa within 6 months atakuwa kafa , alikuwa kavimba tumbo balaa, akaenda kwa baba God kuombewa tumbo likaisha akapona kurudi Bugando akaambiwa haumwi chochote, mpk Leo yupo hai na mzima wa Afya, 14 yrs now

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshauri afanye kama Mchungaji maarufu sana wa jijini Mwanza maeneo ya Kangai maarufu kama BABA GOD, yeye baada ya afya yake kuwa kama ya huyo Lusekero alipotea kabisa hadi leo hii hajulikani alipo....waumini wake ukiwauliza wanasema alienda KUZIMU, kumbe yupo sehemu anajiuguza na ARV...ila habari za ndani zinasema alishatangulia mbele ya haki, wiki ijayo nitaanzisha uzi hapa wa Baba Godi
Hahaaaa umenikumbusha mbali baba god mfalme. Kangae moja. Alienda kuzimu huyu mtumishi wa shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom