Kwanini..??
Nijibu kwanza hapo nilipokuuliza....Nami nitakupa majibu ya maana ya kanisa zaidi ya moja
Approval ya ulichokiandika au kukubalika au kusomeka hakuitaji wewe kujinasibu eti ni Mkatoliki...!!!
Sasa hebu niambie ni upuuzi gani huo...???
Wabongo bana, umeulizwa swali na wewe unauliza swali...Jibu then leta swali sasa na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app