Maaskofu wanavaa pete , hata papa anavaa pete , mbona mnaiogopa hiyo ya Lusekelo?Hiyo Pete hmm!
Ila Mungu amrehemu
Pete ya nini hasa??Maaskofu wanavaa pete , hata papa anavaa pete , mbona mnaiogopa hiyo ya Lusekelo?
Duniani kuna vitukoooo! Huyo baba Godi hukuwahi pata picha yake?Zilianza kuvuma kuwa yupo hoi kitandani.....hatimaye waumini wake wakaambiwa Baba Godi ameenda kuzimu na kuna siku atarudi na nguvu kubwa ya kuondoa mapepo na kutenda miujiza mikubwa ya kutembea juu ya bahari....hadi leo tunasubiri,
Asante prescription ya kutoshaPhysical outlook
. Miserable apparently- not interested with the sarrounding
. straight hair, easily pricable
. Wasting gradually.
. fainting in skincolur opposite of shinny
Implication- certain pathology is going on in his body
Mkewe ni Happiness Ngasala wa TBC.Pesa ya ujanja janja ina mawili itakutoka kijanja au itakuumbuua kijanja...
Pombe mingi afu kwani ana mke vile??
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia nadhani sababu wanajificha nyuma ya ID fake alikini wanachokiandika ndio asili ya roho na mioyo yao.Hawapendi mafanikioHumu jukwaani kuanguka kwa afya ya mtu huwa ni furaha kuu kwa watu.
Binadamu wazuri kuongea nao usoni moyoni wanakuzodoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuuh ila Baba God japokuwa alikuwa anatumia Nguvu za Giza sintomsahau mwaka 2004 mama angu Bugando Hosp aliambiwa ana kansa ya INI na akaambiwa within 6 months atakuwa kafa , alikuwa kavimba tumbo balaa, akaenda kwa baba God kuombewa tumbo likaisha akapona kurudi Bugando akaambiwa haumwi chochote, mpk Leo yupo hai na mzima wa Afya, 14 yrs now
Sent using Jamii Forums mobile app
afu jirani yangu huyu mzee siku ile alifunga mtaa akiwa bwiiHivi alisema waandishi wasipofanya nini watakufa kabla ya mwaka kuisha?
Duh![emoji3][emoji3]
Ukuwa tayari na majibu uniambie...Wabongo bana, umeulizwa swali na wewe unauliza swali...Jibu then leta swali sasa na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu , tutaendelea kuvaa magome ya miti na shanga za plastik , dhahabu na fedha ni za wazungu , waarabu, wahindi na wachina,Pete ya nini hasa??
Yeye sio askofu wala papa, na hata uliowaorodhesha ushawahi jiuliza huwa wanavaa kwa ajili ya nini?
Siyo za hivyo,Maaskofu wanavaa pete , hata papa anavaa pete , mbona mnaiogopa hiyo ya Lusekelo?