Unaleta mtoto wa watu umlaze chini bila sababu japo una kijigodoro, wakati kwao ashazoea kulala kwenye kitanda?Wakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
Kwanini mkuu wkt nimeshawekuwekeeni apo wazi kabisa rasilimali zoote nazomiliki kuonesha naweza kabisa kumudu kutunza mtoto wa watuNaona we bado haujajipata. Usioe.
kwann kiongozi? mm ni dume mkamilifu, cpo ukoKwanini kwa sasa usiwe kataa ndoa kwanza?
shida nini kiongozi au adi niwe na gari?Nop, endelea kujipanga zaidi
tafuta pesa janja apo kuoa bado sana mnoWakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
ivyo vingne vidogo vidogo vitapatikana tu uko mbeleni kwa kudra zakeHuna hata kasabufa unataka ulete kasabufa kanachokupa stress?
pamoja sana kiongozi 🤝🤝Sahihi kabisa. Oa
kiongozi mambo ya homeless yanatokea wapi wkt nimeshakuonesha geto langu mujarabhWewe unamatatizo, kuna homeless kibao wameoa na wanawatoto homeless
tawire kiongozi 👍👍Binafsi sioni shida yeyote ikiwa;
1. Mnampenda kwa dhati.
2. Una uwezo wa kifedha.
3. Uko tayari kwa majukumu ya ndoa.
4. Mnaelewana kuhusu matarajio ya maisha.
5. Familia hazina pingamizi kubwa.
6.Unaukomavu wa kiakili na kihisia.
Kama yote yapo sawa, endelea!
Tafuta viwanja 2 hivi 700 sqm ....ukiwaxnabyo 2 jiandae kuoa sasaaa......utanielewa BaadaeWakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.
Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.
Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
Nikisikia kijana anataka kuoa ..natamani kummamata makofi.....
Hee😲kiongozi viwanja tena?Tafuta viwanja 2 hivi 700 sqm ....ukiwaxnabyo 2 jiandae kuoa sasaaa......utanielewa Baadae
Hee😲kiongozi viwanja tena?
kiongozi unamaanisha akili hii inakaa kichwani au? iyo ipo ndomaana naweza kuandika apaKatika orodha ya ulivyovipanga sijaona akili...
Dogo ukikosa akili acha kufikiria kuoa usije kufa kabla ya wakati.
kabisa au aje tu DM tuyamalize ukouko kimyakimya nshachoka kulala na nguoHaya jamani financial services nenda mkaanze kupambana pamoja namwamba
bado napambana kiongozi sijakata tamaahujasema chanzo chako cha