Namiliki vitu hivi. Je, kuna shida nikioa kwa sasa?

Hicho chumba umepiga picha vitu unavyomiliki, sijaona akili humo ndani.

Huyo unayemuoa atakuwa anaenda kushinda kwenye getto la msela hapo kwa jirani yako wakati wewe umetoka kwenda kusakura mawindo.

Yamkini hurusiwi kuoa maana hujui hata ndoa inataka nn pumbavu!!!
 
Wakuu getho limeshatimia kama linavyoonekana hapa.

Yani amekosekana mrembo tu kwa sasa.

Naomba baraka zenu wakuu nifanikishe jambo langu hili.
Mkuu hapo bado upo kwenye trouble
Sasa don't trouble the trouble because you gonna welcome the trouble in trouble
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…