Uchaguzi 2020 Namkubali Dkt. Magufuli, siikubali CCM lakini ni propaganda potoshi kumuita Lissu kibaraka wa Wazungu

Uchaguzi 2020 Namkubali Dkt. Magufuli, siikubali CCM lakini ni propaganda potoshi kumuita Lissu kibaraka wa Wazungu

ingawa kwa kiasi flan jamaa ni kibaraka,jinsi alihandle ile issue ya makinikia , ilikua total failure kwao, ukiongeza na jinsi corona ilienda, kwa kifupi jamaa ana element za kijasusi, na kuna uwezekano kunfa watu wanampa bichwa mambele uko ndo maaana haogopi, to describe him yes anaweza kua kibaraka
Corona Dr Magufuli hata kama angekuwa anagombea urais wa UN angeshinda. Hata sasa hivi nashangaa kwa nini anasumbuka mikoani wakati heshima ya maamuzi ya Corona alitakiwa awe ametulia tu anahamishia samani zake Dodoma Mji Mkuu akijiandaa Kumaliza miaka yake 2025.

Hatukupaswa kabisa kuwa na uchaguzi kwa heshima ya corona strategy ya Mheshimiwa rais.


Makinikia Lissu alikuwa sahihi kuliko wakina Osollo sema hakuwa na Adabu tu. Hata dunia ilitushangaa kwa zile findings za copper concentrate.
Kila mwishoni nilijua serikali ilikuwa inaexagerate zile data makusudi kupata imani kwa wananchi na kuwabana wale wazungu tu.
 
Hujui hata maana ya kibaraka wewe. Mtu akiamka kumtafuta daktari toka nje ya nchi naye utamuita kibaraka! ? Huyo armstadam ni wakili toka nje kumtettea mtanzania co dhambi wala haikuanzia kwa Lisu. Ficha ushamba wako wewe punguani! Lisu huyu aliyetetea mikataba kibovu ya Madini toka ccm wanayagawa hovyo chini ya mkapa anakuaje kibaraka???? Ama hufuatilii mambo ama unaishi kwa ujinga????
Anajisahaulisha? Kwani Nyerere huo uhuru alienda kuuombea wapi? Tanganyika ilivyokumbwa na baa la njaa Nyerere alikwenda wapi kama si kwa JFK ambao wanaitwa mabeberu!

Misaada ni kwa hisani ya mabeberu! Dawa za UKIMWI ni hisani ya mabeberu! Mikopo tunaipata kutoka kwa mabeberu! Mfumo wa kutumia pesa duniani tunatumia wa mabeberu na orodha inaendelea.....

Polisi wetu nao wanafundishwa na FBI ambao tunawaita mabeberu!
 
Mkuu, Lisu ni kibaraka wewe jua hilo...

Hivi Amsterdam anakuwa msemaji wa Lisu juu ya uhuru wa NEC kama nani hasa katika nchi hii?

Tunajua ni mwansheria wake kwa yaliyomsibu sawa. Lakini huku kwenye uchaguzi yeye kama nani hasa?

Kama taasisi zote za kutoa haki zimeamua kumtii kiongozi wa kundi la watu wasiojulikana, na kushindwa kutekeleza majukumu yao, acha watu wa nje waingilie mambo yetu ya ndani. Na wakija tutawaunga mkono. Hatuna muda wa kuwafumbia macho wmmadhalimu kisa ni weusi wenzetu.
 
Amsterdam ni nani?
Ile tu AMSTERDAM kumtolea matamko Lisu juu ya uchaguzi inaonesha ni jinsi gani alivyo kibaraka!

Kwani ulitaka ajioneshe wazi wazi kama yeye ni kibaraka?

Au unafikir mabeberu wanatumia watu wajinga kuwa vibaraka wao?
 
Lissu nikibaraka, hiyo haipingwi!

Maneno yake yanathibitisha hilo.
Serikali pamoja na raia tumemvumilia Sana.
Chamoto atakiona oct28.
Tunataka maendeleo sio blah blah.
 
Mkuu, Lisu ni kibaraka wewe jua hilo...

Hivi Amsterdam anakuwa msemaji wa Lisu juu ya uhuru wa NEC kama nani hasa katika nchi hii?

Tunajua ni mwansheria wake kwa yaliyomsibu sawa. Lakini huku kwenye uchaguzi yeye kama nani hasa?
Wizi wa kura unaofanywa na ccm kwa kushirikiana na NECccm ili kudumisha utawala haramu usio ridhaa ya kweli ya wananchi lzm upingwe kwa njia zote
 
Aah wapi, wewe itabidi umulikwe sawasawa,yaani unachukia chama kilichokukuza na kukusomesha kweli?
Hiko chama hakina uwezo wa kushinda uchaguzi wowote huru bara wala visiwani kwa sasa, hata m/kiti anajua hilo
 
Nimekuwa nikimfuatilia Lissu kabla na baada ya tukio la kujeruhiwa.

Wengi wanaompinga kwa kisingizio cha ukibaraka wenda wanafanya makusudi, au wanataka kuwaokota watu wasio na ufahamu au ni kukidhalilisha chama cha Mapinduzi kwa kutumia mbinu za kizamani.

Zamani za CUF tulitishiwa udini.
CHADEMA na slaa tukaambiwa vita na machafuko.
Lowasa fisadi huku Mahakama ya mafisadi ikibaki inapiga mihayo bila wateja.

Leo Lissu Jamii inaaminishwa ni mtu Hatari na Kibaraka Mkubwa wa wezi wa madini, wazungu na mabeberu kwa Aina zao.

Kwa CCM hii ni Kete nzuri ya kuhadaa wananchi lkn miaka ya 2015 kurudi nyuma sio Leo.

Wengi tunataka facts sio porojo.

Napenda kumpinga sana Lissu, na niliumia aliposadikiwa kupigwa risasi, nilimuombea sana apone haraka ili nimpinge akiwa mzima kwa facts ila hilo la kumuita kibaraka sio sawa.

Mnamuonea wakuu
Walishatuona sote tu mazwazwa tusiohoji kwa sababu wanaamini hatujui kuwa mikataba mibovu ya migodi, ubinafsishaji nk. kwamba iliingiwa na chama hichohicho na ndicho haswa kilijikomba kwa mabeberu haohao ambao leo wamegeuzia kuwa mtaji wa kisiasa!!
 
Back
Top Bottom