Kwahiyo ulitaka aende kila nchi huyo waziri wa mambo ya nje wa USA??Umeandika kwa majonzi sana na mabeberu wanamlia mingo tu. Angalia Waziri wa mambo ya nje wa Marekani kaishia Kenya tu. Hapa hawaji.
Unaandika kwa kutumia utumbo mkubwa na wala sio bongoKwahiyo ulitaka aende kila nchi huyo waziri wa mambo ya nje wa USA??
tatizo baadhi yenu mnafikiri kuwa katiba mpya itatoa ahueni ya kisiasa upande flani so mambo mengine yoote mko blind sijui mtakua lin nyie au ndo mntk katiba mpya iwakuzeHoja nyepesi zenye negative expectations kuwa eti "katiba mpya haitakua na maana yoyote kwasababu mentality ya tz ni zilezile" ni kichaka cha kujificha mumiani na vijibwa vyake.
Kama una nia njema unapaswa kuamini kuwa katiba mpya ndiyo itabadili hizo unazoita "mentality zilezile za wa tz"
Hayo ya ahueni ya kisiasa ni mawazo yako wewe binafsi usiniamishie mawazo yako.tatizo baadhi yenu mnafikiri kuwa katiba mpya itatoa ahueni ya kisiasa upande flani so mambo mengine yoote mko blind sijui mtakua lin nyie au ndo mntk katiba mpya iwakuze
sawa bwana mkubwa tunatofautiana mitazamo wala usiwe mkaliHayo ya ahueni ya kisiasa ni mawazo yako wewe binafsi usiniamishie mawazo yako.
Mimi natazama umuhimu katiba mpya kwenye angle ya uwajibikaji wa viongozi kwa kuwapunguzia mamlaka yanayosababisha kukosekana na checking and balance kwenye mihili na sio hizo story zako za ahueni za kisiasa, hizo story zako za uoga wa kisiasa kaa nazo huko kwenu.
Yes na ni makada wa ccm ndiyo huwa wakali wakigusiwa swala la katiba mpyasawa bwana mkubwa tunatofautiana mitazamo wala usiwe mkali
sawa mkuu hakuna tatizo acha amani itawaleYes na ni makada wa ccm ndiyo huwa wakali wakigusiwa swala la katiba mpya
Mkuu rudi shule.. kichwani humo huna kitu.Unaandika kwa kutumia utumbo mkubwa na wala sio bongo
Kenyatta kakutana na BidenMkuu rudi shule.. kichwani humo huna kitu.
Dah!! Nini kilitokea?Lita???? Limemkost Sana leo Arusha hakuna mtu aliyekuwa na time naye
Hata Sabaya pia wamemkosea,walijua alikuwa anatii amri ya amiri.walipaswa kuwarudishia haki zao walitewa vibaya halafu Sabaya wamuondoe kabisa hapa Nchini.Siyo wewe mkuu tupo wengi sana kwenye hilo kundi lako
Uchangiaji wako hauna afya,Jiheshimu!Mapenzi nae mlianza lini na ni mke wa mtu?
Kwa hao wanaotenda huo unyama kwao wanaona ndiyo njia sahihiHata Sabaya pia wamemkosea,walijua alikuwa anatii amri ya amiri.walipaswa kuwarudishia haki zao walitewa vibaya halafu Sabaya wamuondoe kabisa hapa Nchini.
Issue ya SABAYA na MBOWE vyovyote iwavyo ktk tuhuma zao lakini ni doa kubwa sana kiumoja wa kitaifa.
Ni reference moja haitafutika
Unafikiri ni rahisi kama wewe unavyo kunywa chai kaburini?Kama unampenda Mbowe, kanywe naye chai mahabusu
Na wakija Tanzania mtasema mama anauza nchi yenu. Watanzania ni kama hamjui mkitakacho.Kenyatta kakutana na Biden
Kenya inatembelewa na mtu mkubwa wa Marekani huku Tz hakuna kitu. CCM na wewe ndio imeitumbukiza hii nchi kwenye tope. Waza kwa kutumia akili.
Kama siyo rahisi basi aache nahakama ifanye kazi yake.Unafikiri ni rahisi kama wewe unavyo kunywa chai kaburini?
Ukiacha la Mbowe unampendea Tozo au mgao wa maji na umeme ?
Na wakija Tanzania mtasema mama anauza nchi yenu. Watanzania ni kama hamjui mkitakacho.