Namkumbuka msanii anayeitwa Pasha alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana

Namkumbuka msanii anayeitwa Pasha alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,251
Kusema ukweli Pasha alikuwa ni msanii mwenye kipaji cha Hali ya juu mno labda Kama hasingekosa manajiment inayojitambua na kufahamu vyema kazi na umuhimu wake kwa msanii PASHA huenda Leo tungekuwa tunaliongelea jina la Pasha katika engo nyingine ambayo ni kubwa mno.

Leo katika kupitia pitia labrary yangu ya nyimbo za bongofleva za zamani Basi nimekutana na ngoma moja Kali ya PASHA hii ngoma inaitwa umeniweza asee jamaa aliimba Sana umu ndani na kwa ufundi wa Hali ya juu Sana asee.

Mwenye kupenda amsikilize hii ngoma Kisha atoe comment zake hii ngoma Ni Kali mno jamaa alikuwa Mbele ya muda Sana Yani ngoma zinazotamba leo kwenye industry jamaa Alishaga zifanya kitambo sana
 
Kusema ukweli PASHA alikuwa Ni msanii mwenye kipaji Cha Hali ya juu mno labda Kama hasingekosa manajiment inayojitambua na kufahamu vyema kazi na umuhimu wake kwa msanii PASHA huenda Leo tungekuwa tunaliongelea jina la PASHA katika engo nyingine ambayo Ni kubwa mno.

Leo katika kupitia pitia labrary yangu ya nyimbo za bongofleva za zamani Basi nimekutana na ngoma moja Kali ya PASHA hii ngoma inaitwa umeniweza asee jamaa aliimba Sana umu ndani na kwa ufundi wa Hali ya juu Sana asee.

Mwenye kupenda amsikilize hii ngoma Kisha atoe comment zake hii ngoma Ni Kali mno jamaa alikuwa Mbele ya muda Sana Yani ngoma zinazotamba leo kwenye industry jamaa Alishaga zifanya kitambo sana.
Nashangaa Harmonize anashindwa kunyanyua mmakonde mwenzie
Anahangaika na Qchief mla unga.
 
Nashangaa Harmonize anashindwa kunyanyua mmakonde mwenzie
Anahangaika na Qchief mla unga.
Daaah jamaa anaimba Sana pasha asee tuache utani maana mshikaji Ni fundi sana nimejaribu kuipandisha hii nyimbo apa lakini naona inagoma kabisa bt mwenye kuweza kuitafute aitafute aisikilize atakuja apa kukiri asee pasha Ni hatari mno NGOMA INAITWA UMENIWEZA
 
Huo wimbo mpaka leo nausikilizaga tangu 2014 au 13 ulipotoka
 
Daaah jamaa anaimba Sana pasha asee tuache utani maana mshikaji Ni fundi sana nimejaribu kuipandisha hii nyimbo apa lakini naona inagoma kabisa bt mwenye kuweza kuitafute aitafute aisikilize atakuja apa kukiri asee pasha Ni hatari mno NGOMA INAITWA UMENIWEZA
Siyo hiyo tuu, kuna ile ya NISOO, HIDAYA zote kalii
 
Huo wimbo mpaka leo nausikilizaga tangu 2014 au 13 ulipotoka
Mwanangu hii ngoma Ni hatari mi mwenyewe Niko naisikiliza apa jamaa aliimba Sana umu ndani kusema ule ukweli
 
Sijui nini kiliwapata wasanii kama Maro,Pasha,Qchira,TID,Spark,Matonya,Tundaman nk baada ya bwana dayamondi Dangote kuibuliwa na shatani toka Mbagara

Nahisi atakuwa anawaroga wenzake ili wasipendwe maana haiwezekani mtu kama banana zoro na ile sauti yake nzuri leo hakuna anayemfuatilia
 
Sijui nini kiliwapata wasanii kama Maro,Pasha,Qchira,TID,Spark,Matonya,Tundaman nk baada ya bwana dayamondi Dangote kuibuliwa na shatani toka Mbagara

Nahisi atakuwa anawaroga wenzake ili wasipendwe maana haiwezekani mtu kama banana zoro na ile sauti yake nzuri leo hakuna anayemfuatilia
imeonyesha jinsi gani ulivyo mchawi maana Kama unaamini katika kuloga automatic na wewe ni mlogaji.
 
Umenichekesha sana chief.
Sema huyu jamaa ni mkorofi.Inaonekana katoka kuokoka juz tu bado ana moto ule wa kutaman mwisho wa dunia ufike hata leo [emoji23]
Aaaah mkuu mambo mengine yanashangaza Sana Yani mtu hujamkwaza kwa lolote yeye anaanza kukupangia maisha na jinsi ha kuishi kweli eti kusikilizia muziki ni dhambi
 
Sijui nini kiliwapata wasanii kama Maro,Pasha,Qchira,TID,Spark,Matonya,Tundaman nk baada ya bwana dayamondi Dangote kuibuliwa na shatani toka Mbagara

Nahisi atakuwa anawaroga wenzake ili wasipendwe maana haiwezekani mtu kama banana zoro na ile sauti yake nzuri leo hakuna anayemfuatilia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mkuu hawa wasanii walibweta baada ya njaa waliyokuwa nayo kwisha

Muone Harmonize siku hizi anavyoimba atadhania hataki
 
Kusema ukweli Pasha alikuwa ni msanii mwenye kipaji cha Hali ya juu mno labda Kama hasingekosa manajiment inayojitambua na kufahamu vyema kazi na umuhimu wake kwa msanii PASHA huenda Leo tungekuwa tunaliongelea jina la Pasha katika engo nyingine ambayo ni kubwa mno.

Leo katika kupitia pitia labrary yangu ya nyimbo za bongofleva za zamani Basi nimekutana na ngoma moja Kali ya PASHA hii ngoma inaitwa umeniweza asee jamaa aliimba Sana umu ndani na kwa ufundi wa Hali ya juu Sana asee.

Mwenye kupenda amsikilize hii ngoma Kisha atoe comment zake hii ngoma Ni Kali mno jamaa alikuwa Mbele ya muda Sana Yani ngoma zinazotamba leo kwenye industry jamaa Alishaga zifanya kitambo sana
Mimi napenda wimbo wake wa namwimbia nadhani ndo wimbo wake wa kwanza na ule najiuliza kitu gani, wimbo wake wa ni soo ulihit sana ila mimi sikwua naupenda.
Tatizo allikuwa mshikaji wake Hbaba ana swaga kama za Hbaba za bamuntu ba kongo.
Ila alikuwa anajua sana
 
Mimi napenda wimbo wake wa namwimbia nadhani ndo wimbo wake wa kwanza na ule najiuliza kitu gani, wimbo wake wa ni soo ulihit sana ila mimi sikwua naupenda.
Tatizo allikuwa mshikaji wake Hbaba ana swaga kama za Hbaba za bamuntu ba kongo.
Ila alikuwa anajua sana
Kwani kuwa na swaga Kama za wakongo ni vibaya mjumbe mwenzangu kama ndo zilimfanya apotee kimziki mbona wakongo wenyewe hawapotei
 
Back
Top Bottom