Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mkuu hawa wasanii walibweta baada ya njaa waliyokuwa nayo kwisha
Muone Harmonize siku hizi anavyoimba atadhania hataki
Alafu ameanza tabia ya kuongea ongea kwenye nyimbo badala ya kuimba..na tabia za mipasho kila wimbo! Anachokitafuta atakipata sema pona yake ni washabiki maandazi wa hizi team!