Namkumbuka msanii anayeitwa Pasha alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana

Namkumbuka msanii anayeitwa Pasha alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana

Dadekiii kwanza hio HIDAYA afu unakutana na beat matata ya lil ghetto. Dah those were the days
 
Dadekiii kwanza hio HIDAYA afu unakutana na beat matata ya lil ghetto. Dah those were the days
 
Alikua na uwezo wa Kawaida, kuanzia kwenye Sauti mpaka Utunzi.....

Labda alikua Handsome kuliko Wasanii wengine..........
Sawa swizbeat inakuwaje lakini
 
Kusema ukweli Pasha alikuwa ni msanii mwenye kipaji cha Hali ya juu mno labda Kama hasingekosa manajiment inayojitambua na kufahamu vyema kazi na umuhimu wake kwa msanii PASHA huenda Leo tungekuwa tunaliongelea jina la Pasha katika engo nyingine ambayo ni kubwa mno.

Leo katika kupitia pitia labrary yangu ya nyimbo za bongofleva za zamani Basi nimekutana na ngoma moja Kali ya PASHA hii ngoma inaitwa umeniweza asee jamaa aliimba Sana umu ndani na kwa ufundi wa Hali ya juu Sana asee.

Mwenye kupenda amsikilize hii ngoma Kisha atoe comment zake hii ngoma Ni Kali mno jamaa alikuwa Mbele ya muda Sana Yani ngoma zinazotamba leo kwenye industry jamaa Alishaga zifanya kitambo sana
unafanya urafiki na Hbaba mkata viuno unategemea utafika mbali kweli?
 
Mziki bongo sahv wameukamatia wakina mondi hawawapi wenzao nafasi

Ova
 
afu kuna yule jamaa aliimbaga " dar es salaam kuna warembo kibaoo, wengi nimeshakutana nao dah uyu jamaa sijui ndo nani aseee
 
Kama atahitaji msaada aje hapa jukwaani tutamuendeleza wala hamna neno kabisaa....
 
Sijui nini kiliwapata wasanii kama Maro,Pasha,Qchira,TID,Spark,Matonya,Tundaman nk baada ya bwana dayamondi Dangote kuibuliwa na shatani toka Mbagara

Nahisi atakuwa anawaroga wenzake ili wasipendwe maana haiwezekani mtu kama banana zoro na ile sauti yake nzuri leo hakuna anayemfuatilia
Imani potofu, Imani za kutungwa hizo zisizokuwepo
 
Mimi napenda wimbo wake wa namwimbia nadhani ndo wimbo wake wa kwanza na ule najiuliza kitu gani, wimbo wake wa ni soo ulihit sana ila mimi sikwua naupenda.
Tatizo allikuwa mshikaji wake Hbaba ana swaga kama za Hbaba za bamuntu ba kongo.
Ila alikuwa anajua sana
Mkuu, kama una ile Nisoo REMIX iweke humu..
Kiitikio kaitikia mdada
 

Ni soo song by Pasha
 
Minapenda mwimbo wa nisoo wa pasha..napenda sana Tabasamu lake.

Yaani mimi mwanaume mwenye good dental formula huwa navutiwa nae
 
Kama pesa hushangai
Gari kwako si thamani
Unaendesha toka zamani
Udanganyike na nini.

Ni soo ndo moja ya ngoma zake kali za muda wote.
Unapo touch body minashtuka
I love you ma kwangu we malaika.
 
Back
Top Bottom