miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
ahaha umenikumbusha Mtepa ,moja kati ya watu wa mwanzo kumiliki satelite dish,huku watu tukikomaa na antenna,full kutubadilishia channels.Kitambo sanaYaaah, Ni mtoto kutoka Rahaleo Mtwara Tanzania..
Alikuwa yupo gudy kwenye industry ya mziki Ila mpaka sasa sijafahamu chanzo cha kuacha mziki na wapi yupo