Namkumbuka msanii anayeitwa Pasha alikuwa na kipaji cha hali ya juu sana

Dadekiii kwanza hio HIDAYA afu unakutana na beat matata ya lil ghetto. Dah those were the days
 
Dadekiii kwanza hio HIDAYA afu unakutana na beat matata ya lil ghetto. Dah those were the days
 
Alikua na uwezo wa Kawaida, kuanzia kwenye Sauti mpaka Utunzi.....

Labda alikua Handsome kuliko Wasanii wengine..........
Sawa swizbeat inakuwaje lakini
 
unafanya urafiki na Hbaba mkata viuno unategemea utafika mbali kweli?
 
Mziki bongo sahv wameukamatia wakina mondi hawawapi wenzao nafasi

Ova
 
afu kuna yule jamaa aliimbaga " dar es salaam kuna warembo kibaoo, wengi nimeshakutana nao dah uyu jamaa sijui ndo nani aseee
 
Kama atahitaji msaada aje hapa jukwaani tutamuendeleza wala hamna neno kabisaa....
 
Imani potofu, Imani za kutungwa hizo zisizokuwepo
 
Mkuu, kama una ile Nisoo REMIX iweke humu..
Kiitikio kaitikia mdada
 
Your browser is not able to play this audio.

Ni soo song by Pasha
 
Minapenda mwimbo wa nisoo wa pasha..napenda sana Tabasamu lake.

Yaani mimi mwanaume mwenye good dental formula huwa navutiwa nae
 
Kama pesa hushangai
Gari kwako si thamani
Unaendesha toka zamani
Udanganyike na nini.

Ni soo ndo moja ya ngoma zake kali za muda wote.
Unapo touch body minashtuka
I love you ma kwangu we malaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…