miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
ahaha umenikumbusha Mtepa ,moja kati ya watu wa mwanzo kumiliki satelite dish,huku watu tukikomaa na antenna,full kutubadilishia channels.Kitambo sanaYaaah, Ni mtoto kutoka Rahaleo Mtwara Tanzania..
Alikuwa yupo gudy kwenye industry ya mziki Ila mpaka sasa sijafahamu chanzo cha kuacha mziki na wapi yupo
Mtepa huyu mzee mwenye duka la hardware hapa standKuu Chipuputa..?ahaha umenikumbusha Mtepa ,moja kati ya watu wa mwanzo kumiliki satelite dish,huku watu tukikomaa na antenna,full kutubadilishia channels.Kitambo sana
nahisi ni huyo kana mtepa alikuwaga mfanyabiashara hapo mtwara kitambo,ana undugu na na huyo pashaMtepa huyu mzee mwenye duka la hardware hapa standKuu Chipuputa..?
Naamini uwepo wa mungu muumba wa vyote LAKINI haya mahubiri sasa.unaingia ibadani unatishwa mwanzo mwisho. Yaani hizi dini ni kutishana tu.Faraja ni ndogo sana.Eti ukiwa na hela huendi mbinguni.Kuna siku utamkumbuka joel lwaga
Usiipende dunia na mambo yake
Kuna jehanum
"...Anaenifanya nikose raha,ndio. .ninaemwimbia,basi kama beibi unanisikiaaa basi,em sogeeeeaaaa.." Pasha enz zake akitembea na mtoto wa RFK angu kikoti ...dahKusema ukweli Pasha alikuwa ni msanii mwenye kipaji cha Hali ya juu mno labda Kama hasingekosa manajiment inayojitambua na kufahamu vyema kazi na umuhimu wake kwa msanii PASHA huenda Leo tungekuwa tunaliongelea jina la Pasha katika engo nyingine ambayo ni kubwa mno.
Leo katika kupitia pitia labrary yangu ya nyimbo za bongofleva za zamani Basi nimekutana na ngoma moja Kali ya PASHA hii ngoma inaitwa umeniweza asee jamaa aliimba Sana umu ndani na kwa ufundi wa Hali ya juu Sana asee.
Mwenye kupenda amsikilize hii ngoma Kisha atoe comment zake hii ngoma Ni Kali mno jamaa alikuwa Mbele ya muda Sana Yani ngoma zinazotamba leo kwenye industry jamaa Alishaga zifanya kitambo sana
Yupo Buza pale kanisani, ukishuka kwenye gari tuu unamuona ana bango lake pale anauzaNyimbo tatu bora toka kwa pasha
Namkubali sana huyu mchizi sijui kapotea wapi
- Hidaya
- Thamani ya penzi
- Nisoo
Ndo huyo pasha mkuu ..Hata sio yeye, jina limenitoka tu dah!
Yaaah, Ni mtoto kutoka Rahaleo Mtwara Tanzania..
Alikuwa yupo gudy kwenye industry ya mziki Ila mpaka sasa sijafahamu chanzo cha kuacha mziki na wapi yupo
Huyo ndiye Pashaaseee