Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania.

Ilikuwaje kama yeye Rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile? Hapa nahisi huyu Rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu.

Sera ya ujamaa na Arusha Declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kupitiliza. Hii imesababisha hata Watanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya Kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu hasa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa.

Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi.
 
Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania
Ilikuwaje kama yeye rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile ? Hapa nahisi huyu rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu
Sera ya ujamaa na Arusha declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kypitiliza.Hii imesababisha hata waTanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu haswa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa
Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi
Mods msifute hii thread kwasababu kuna post humu za kumnanga magufuli na bado mnazipa airtime hii post muiache
Elimu, elimu, elimu.

Katiba tuliyonayo ni ya mwaka 1977 na waandishi wake wapo Mwenyekiti alikuwa Pius Msekwa na Tanzania ilikuwa kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wewe ndio mdini badala ya kumlaumu Alhaji Ally Hassani Mwinyi kwa kurudisha mfumo wa vyama vingi bila kuandika katiba mpya.

Unawadharirisha waislamu wenzako kwa kuwa na akili ndogo kiasi hiki.
 
Mwalimu Nyerere alifanya kwa nafasi yake na Kama ilivyo kwa binadamu wote hufanya vizuri na vibaya.

Ninukuu mchango wa GT Malcom Lumumba "Nyerere alianza vizuri akamaliza vibaya"

Lakini Sasa hayupo na tayalia tusha baini wapi alikosea ni muda wa kufanya mageuzi kuliko kulalamika kila uchwao maana mageuzi hayaletwi na malalamiko na kulaumu bali matendo yaliyo Safi kwa ustawi wa jamii muda wa kupaza sauti zetu kuhusu katiba mpya ndio huu na kauli mbiu inatakiwa kuwa

"Anayepinga katiba mpya ni adui wa umma"Bams

"Kuanguka sio kosa kosa ni kubaki pale ulipo anguka"
 
Kitendo cha kufanya Kiswahili kuwa Lugja ya Taifa badala ya English, alibugi sana. Angefanya English Lugha ya Taifa na kutumia juhudi ileile aliyotumia kueneza Kiswahili, naamini Tungekua mbali sana.
Fulsa ni nyingi sana kwenye English kuliko Kiswahili
 
Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania
Ilikuwaje kama yeye rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile ? Hapa nahisi huyu rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu
Sera ya ujamaa na Arusha declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kypitiliza.Hii imesababisha hata waTanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu haswa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa
Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi
Mods msifute hii thread kwasababu kuna post humu za kumnanga magufuli na bado mnazipa airtime hii post muiache
Rais WA kwanza alikua anaakili na upeo WA ajabu sana na ni raisi pekee alokua na Ushawishi mkubwa.
Ila sasa alikua mnafiki sana hasa aliotumia zungimzia udini kuukemea hii ilkua kama trick Kali sana.

Kwani hata kifo Cha Karume alikataa uwepo WA uchunguzi WA kifo.

Hii yote ni kutumikia wakoloni.

Anamazur mengi ila mabaya akija yaskia hutampenda hata kidogo
 
Je nini kinasababisha sasa hivi usibadili na kurekebisha? Acheni malalamiko Katiba haiiji kwa maneno-haki haiombi Bali inapiganiwa.

Tena SAMIA aachana na mambo ya kuleta Katiba Mpya hii hii inafaa-siku watu wakiona kuna umuhimu wa Katiba basi wataingia mtaani kuitafuta.
 
Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania
Ilikuwaje kama yeye rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile ? Hapa nahisi huyu rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu
Sera ya ujamaa na Arusha declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kypitiliza.Hii imesababisha hata waTanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu haswa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa
Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi
Mods msifute hii thread kwasababu kuna post humu za kumnanga magufuli na bado mnazipa airtime hii post muiache
Ni kweli lakini tukibaki na tabia ya kulaumu laumu tu wale watu ambao hawatarudi kamwe toka huko walopo itakuwa ni sawasawa na bure tu. !! Wazungu wanasemaga the past has gone forget it, the future hasn’t arrived to hell with it, the future is here use it to the maximums!! Yote aliyokosea yanarekebishika bila wasiwasi wowote kinachotakiwa ni utashi tu Mkuu !!
 
Mwalimu Nyerere alifanya kwa nafasi yake na Kama ilivyo kwa binadamu wote hufanya vizuri na vibaya.

Ninukuu mchango wa GT Malcom Lumumba "Nyerere alianza vizuri akamaliza vibaya"

Lakini Sasa hayupo na tayalia tusha baini wapi alikosea ni muda wa kufanya mageuzi kuliko kulalamika kila uchwao maana mageuzi hayaletwi na malalamiko na kulaumu bali matendo yaliyo Safi kwa ustawi wa jamii muda wa kupaza sauti zetu kuhusu katiba mpya ndio huu na kauli mbiu inatakiwa kuwa

"Anayepinga katiba mpya ni adui wa umma"Bams

"Kuanguka sio kosa kosa ni kubaki pale ulipo anguka"
To fall down is an accident to stay down is a choice. !!
 
Unamlaumu baba kwa kuwa hakuwajengea nyumba
Leo una miaka 60 bado unalaumu si ujenge sasa

Mbona kila anaengia madarakani anakuwa na nguvu zile zile za ukandamizaji?

Bunge lipo ingawa lina uwezo wa kusema sasa basi
Ila mnatishiwa kwa kuwaleta wajeda wafagie barabara halafu mnasahau tena miaka 10

Hiyo miaka 10 itakuja na kwenda na hamtafanya lolote
Wanaoficha hela zao wazitoe zifanye kazi zizae na wapatikane hata millionaires 100 tu waswahili ndio mtajua naongelea nini hapa

La sivyo acheni mafala yaibe yahonge na yaendelee kutawaliwa yakifikiri kuendesha V8 na nyumba nzuri na watoto kwenda FEZA ndio yamefika

Ila wakumbuke potholes zitakuwepo miaka mingine 100 na malaria itawapata na kuuwa watoto wao pia
 
Kitendo cha kufanya Kiswahili kuwa Lugja ya Taifa badala ya English, alibugi sana. Angefanya English Lugha ya Taifa na kutumia juhudi ileile aliyotumia kueneza Kiswahili, naamini Tungekua mbali sana.
Fulsa ni nyingi sana kwenye English kuliko Kiswahili
Kale ka babu kametuyumbisha sana kwenye uchumi, elimu na siasa hasa ikichagizwa na ujamaa wake. Kwangu he is no hero, japo upande wa mama yangu ni watu wa Mara na kwa kiasi fulani walinufaika kifursa wakati wa utawala wake.
 
Unamlaumu baba kwa kuwa hakuwajengea nyumba
Leo una miaka 60 bado unalaumu si ujenge sasa

Mbona kila anaengia madarakani anakuwa na nguvu zile zile za ukandamizaji?

Bunge lipo ingawa lina uwezo wa kusema sasa basi
Ila mnatishiwa kwa kuwaleta wajeda wafagie barabara halafu mnasahau tena miaka 10

Hiyo miaka 10 itakuja na kwenda na hamtafanya lolote
Wanaoficha hela zao wazitoe zifanye kazi zizae na wapatikane hata millionaires 100 tu waswahili ndio mtajua naongelea nini hapa

La sivyo acheni mafala yaibe yahonge na yaendelee kutawaliwa yakifikiri kuendesha V8 na nyumba nzuri na watoto kwenda FEZA ndio yamefika

Ila wakumbuke potholes zitakuwepo miaka mingine 100 na malaria itawapata na kuuwa watoto wao pia
Umenena !!
 
Kale ka babu kametuyumbisha sana kwenye uchumi, elimu na siasa hasa ikichagizwa na ujamaa wake. Kwangu he is no hero, japo upande wa mama yangu ni watu wa Mara na kwa kiasi fulani walinufaika kifursa wakati wa utawala wake.
Kwa zama zake na watu wake waliokuwepo alikuwa ni Hero na atabaki kuwa hivyo kwao !! Kila zama na kitabu chake alisemaga Mzee Mwinyi !!
 
Mwalimu Nyerere alifanya kwa nafasi yake na Kama ilivyo kwa binadamu wote hufanya vizuri na vibaya.

Ninukuu mchango wa GT Malcom Lumumba "Nyerere alianza vizuri akamaliza vibaya"

Lakini Sasa hayupo na tayalia tusha baini wapi alikosea ni muda wa kufanya mageuzi kuliko kulalamika kila uchwao maana mageuzi hayaletwi na malalamiko na kulaumu bali matendo yaliyo Safi kwa ustawi wa jamii muda wa kupaza sauti zetu kuhusu katiba mpya ndio huu na kauli mbiu inatakiwa kuwa

"Anayepinga katiba mpya ni adui wa umma"Bams

"Kuanguka sio kosa kosa ni kubaki pale ulipo anguka"


Inatakiwa iwe hivi; "Kuanguka ni nusu kosa kutoinuka ni kosa kamili".
 
Leo umevuta bangi ya wapi. Sera za ujamaa na sera za ukoloni mbona ni vitu viwili tofauti
 
Leo umevuta bangi ya wapi. Sera za ujamaa na sera za ukoloni mbona ni vitu viwili tofauti
 
Kusini na Pwani ni masikini kwa sababu ya laana ya matambiko. Ukijua chimbuko la uchawi wa Mwenge utaelewa kwann kusini ni masikini.
 
Wakoloni walituletea maendeleo sema tu wivu na tamaa ya wapigania UHURU ndio waliwadanganya waafrika kwamba watawaletea maendeleo baada ya UHURU wakajiletea maendeleo yao na ya familia zao ndio zinazolamba asali.
 
Back
Top Bottom