whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Nani aliwafukuza?Nyerere hajafukuza mtu yeyote. !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliwafukuza?Nyerere hajafukuza mtu yeyote. !!
Na huo ndio ukweli mchungu !!Unatupiga Kamba tu, wasinufaike Watoto wa kuwazaa mwenyewe ndio anufaishe ndugu za mama yako?
Hukuwahi kumjuwa Nyerere, kwake hakukuwa na deal la kupiga naye wala kutowa upendeleo maalum never.
Kudai uhuru sio maana yake kuwafukuza !! Kwa tafsiri yanguNani aliwafukuza?
Waliondoka baada ya uhuruKudai uhuru sio maana yake kuwafukuza !! Kwa tafsiri yangu
Walikuja kubadilika baadaye sio wale walioudai Uhuru !!Wakoloni walituletea maendeleo sema tu wivu na tamaa ya wapigania UHURU ndio waliwadanganya waafrika kwamba watawaletea maendeleo baada ya UHURU wakajiletea maendeleo yao na ya familia zao ndio zinazolamba asali.
Na wakaahidiwa watakaribishwa tena waione Tanganyika baada ya miaka kumi jinsi itakavyokua ili walinganishe na walivyokuwepo wao kama wakoloni watawala ! Na Alitimiza hiyo ahadi !Waliondoka baada ya uhuru
Pamoja na hayo ila kuna changamoto kwenye utamaduni wao. Something more than uchawi na matambiko. They need to liberalize themselves first.Kusini na Pwani ni masikini kwa sababu ya laana ya matambiko. Ukijua chimbuko la uchawi wa Mwenge utaelewa kwann kusini ni masikini.
Hii hii mbovu inafuatwa kikamilifu?Nyerere hawezi kukwepa lawama. Maana alijua kabisa hii ni mbovu na haifai. Ila aliacha tu iendelee kutumika wakati alikuwa na uwezo wa kushawishi ibadilishwe. Chanzo cha shida zetu ni ccm. Wao ccm wanazidumisha na kuziendeleza
Unajua kitu kinaitwa UTAIFISHAJINyerere hajafukuza mtu yeyote. !!
Lilikuwa ni agano sehemu zote yaliyopofanyika matambiko ya nchi watu wa eneo hilo uwezo wao wa kufikiri lazima uwe chini.Pamoja na hayo ila kuna changamoto kwenye utamaduni wao. Something more than uchawi na matambiko. They need to liberalize themselves first.
Sifa za kijinga, anahutubia lisaa na nusu hana hata kipande cha karatasi mkononi, akaonekana ana akili nyingi, kumbe ni upuuzi wa hali ya juu leo utagundua kumbe alikuwa anatuzamisha kwenye bwawa la ujinga/umasikini, na vicheko vyake vya kulazimisha, matokeo yake ndo haya.. Elimu hakuna na hata wale waliosoma wengi wao wajinga.... angalia mataifa makubwa raisi hotuba zote zimetayarishwa na wataalamu husika, hadi vizazi wanazikuta... katunyima elimu ili atutawale matokeo yake kajikuta anatawala "MAFISI" uoga kujipendekeza, unafiki + Umajaliwa vs Precision air...Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania.
Ilikuwaje kama yeye Rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile? Hapa nahisi huyu Rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu.
Sera ya ujamaa na Arusha Declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kupitiliza. Hii imesababisha hata Watanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya Kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu hasa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa.
Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi.
Mods msifute hii thread kwa sababu kuna post humu za kumnanga Magufuli na bado mnazipa airtime hii post muiache.
We ni mpuuzi sana kenge maji weElimu, elimu, elimu.
Katiba tuliyonayo ni ya mwaka 1977 na waandishi wake wapo Mwenyekiti alikuwa Pius Msekwa na Tanzania ilikuwa kwenye mfumo wa chama kimoja.
Wewe ndio mdini badala ya kumlaumu Alhaji Ally Hassani Mwinyi kwa kurudisha mfumo wa vyama vingi bila kuandika katiba mpya.
Unawadharirisha waislamu wenzako kwa kuwa na akili ndogo kiasi hiki.
KabisaRais WA kwanza alikua anaakili na upeo WA ajabu sana na ni raisi pekee alokua na Ushawishi mkubwa.
Ila sasa alikua mnafiki sana hasa aliotumia zungimzia udini kuukemea hii ilkua kama trick Kali sana.
Kwani hata kifo Cha Karume alikataa uwepo WA uchunguzi WA kifo.
Hii yote ni kutumikia wakoloni.
Anamazur mengi ila mabaya akija yaskia hutampenda hata kidogo
Wote ni wale waleUnamlaumu baba kwa kuwa hakuwajengea nyumba
Leo una miaka 60 bado unalaumu si ujenge sasa
Mbona kila anaengia madarakani anakuwa na nguvu zile zile za ukandamizaji?
Bunge lipo ingawa lina uwezo wa kusema sasa basi
Ila mnatishiwa kwa kuwaleta wajeda wafagie barabara halafu mnasahau tena miaka 10
Hiyo miaka 10 itakuja na kwenda na hamtafanya lolote
Wanaoficha hela zao wazitoe zifanye kazi zizae na wapatikane hata millionaires 100 tu waswahili ndio mtajua naongelea nini hapa
La sivyo acheni mafala yaibe yahonge na yaendelee kutawaliwa yakifikiri kuendesha V8 na nyumba nzuri na watoto kwenda FEZA ndio yamefika
Ila wakumbuke potholes zitakuwepo miaka mingine 100 na malaria itawapata na kuuwa watoto wao pia
Watu wa kusini wanamlalamikia sanaKale ka babu kametuyumbisha sana kwenye uchumi, elimu na siasa hasa ikichagizwa na ujamaa wake. Kwangu he is no hero, japo upande wa mama yangu ni watu wa Mara na kwa kiasi fulani walinufaika kifursa wakati wa utawala wake.
KabisaSifa za kijinga, anahutubia lisaa na nusu hana hata kipande cha karatasi mkononi, akaonekana ana akili nyingi, kumbe ni upuuzi wa hali ya juu leo utagundua kumbe alikuwa anatuzamisha kwenye bwawa la ujinga/umasikini, na vicheko vyake vya kulazimisha, matokeo yake ndo haya.. Elimu hakuna na hata wale waliosoma wengi wao wajinga.... angalia mataifa makubwa raisi hotuba zote zimetayarishwa na wataalamu husika, hadi vizazi wanazikuta... katunyima elimu ili atutawale matokeo yake kajikuta anatawala "MAFISI" uoga kujipendekeza, unafiki + Umajaliwa vs Precision air...