Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

huyo mzee alikua ovyo sana, sitaki hata kumsikia. Yeye ndio alietufikisha hapa tulipo. hii mizizi mizito ya CCM na matawi yake Policcm, JWTZCCM, na Tissccm yeye ndio mfalme wao.
 
Nyerere hawezi kukwepa lawama. Maana alijua kabisa hii ni mbovu na haifai. Ila aliacha tu iendelee kutumika wakati alikuwa na uwezo wa kushawishi ibadilishwe. Chanzo cha shida zetu ni ccm. Wao ccm wanazidumisha na kuziendeleza
Ndio maana mchangiaji mmoja ameuliza ikiwa Baba yetu hakutujengea nyumba na sasa sisi wanawe tumeshafikia umri wa miaka 60 bado tunasubiri aje atujengee ?!
 
huyo mzee alikua ovyo sana, sitaki hata kumsikia. Yeye ndio alietufikisha hapa tulipo. hii mizizo mizito ya CCM na matawi yake Policcm, JWTZCCM, na Tissccm yeye ndio mfalme wao.
Swali, tutatokaje hapa?. Au tumekubali kwamba akili zetu zimedumaa. Nyerere ana hotuba nyingi sana ambazo zimechapishwa. Ukigooogle utazipata kama huna muda wa kwenda maktaba. Isitoshe, alituasa kwamba mazuri yake tuyaendeleze/tuyaboreshe kama taifa lakini mabovu tuachane nayo. Kama tunafanya hivyo tujipongeze.
 
Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania.

Ilikuwaje kama yeye Rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile? Hapa nahisi huyu Rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu.

Sera ya ujamaa na Arusha Declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kupitiliza. Hii imesababisha hata Watanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya Kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu hasa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa.

Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi.

Mods msifute hii thread kwa sababu kuna post humu za kumnanga Magufuli na bado mnazipa airtime hii post muiache.
Kijana inabidi ufe, na uzaliwe 1950, ili uelewe mambo ya nyakati.
Maana ninyi kizazi ya miaka ya Mkapa na Kikwete hamuelewi mengi.
Ufe, uzaliwe miaka ya nyuma.
 
Swali, tutatokaje hapa?. Au tumekubali kwamba akili zetu zimedumaa. Nyerere ana hotuba nyingi sana ambazo zimechapishwa. Ukigooogle utavipata kama huna muda wa kwenda mkataba. Isitoshe, alituasa kwamba mazuri yake tiyaendeleze/tuyaboreshe kama taifa lakini mabovu tuachane nayo. Kama tunafanya hivyo tujipongeze.
Rubish! King hassan Wa pili wa Morocco mbona alifanya ya maana? J.j rawlings je?
 
Elimu, elimu, elimu.

Katiba tuliyonayo ni ya mwaka 1977 na waandishi wake wapo Mwenyekiti alikuwa Pius Msekwa na Tanzania ilikuwa kwenye mfumo wa chama kimoja.

Wewe ndio mdini badala ya kumlaumu Alhaji Ally Hassani Mwinyi kwa kurudisha mfumo wa vyama vingi bila kuandika katiba mpya.

Unawadharirisha waislamu wenzako kwa kuwa na akili ndogo kiasi hiki.
Kumba huyu mtoa mada lumumbashi anamlaumu mzee wa watu pasimo kujua kama anachomlaumu nacho mzee wa watu ni sahihi.
 
Habari,
Kwangu mwalimu Nyerere namlaumu na nitaendelea kumlaumu kabisa yeye ndio chanzo cha haya yote yanayotea hapa Tanzania.

Ilikuwaje kama yeye Rais baada ya uhuru asingeibadilisha katiba? Na bado akaendelea kutumia katiba ile ile? Hapa nahisi huyu Rais ni wa mchongo kwa maana aliwekwa na wakoloni ili kutukandamiza sisi na vizazi vyetu.

Sera ya ujamaa na Arusha Declaration, hapa Nyerere alibugi balaa sanaa nahisi ndiyo chanzo cha sie Tanzania kuwa masikini kutakana na Sera zake za hovyo kupitiliza. Hii imesababisha hata Watanzania wengi akili zao haziko sawa na wanapenda kufair fair na kupenda mteremko kupita maelezo dadeki.
Chanzo cha mikoa ya Kusini kupoteza mwelekeo hili nitamlaumu hasa na nitendelea kumlaumu mpaka basi hovyo kabisa.

Mdini na udini wa Nyerere, kwangu Nyerere ni mdini sana na chanzo cha kuisunisha maendeleo ya waislamu na hii ilipelekea kuharibika mikoa ya kusini kiuchumi.

Mods msifute hii thread kwa sababu kuna post humu za kumnanga Magufuli na bado mnazipa airtime hii post muiache.
Hii thread ya kiwango cha chini kabisa. Unamlaumu Nyerere kwa kitu gani wakati katika miaka 61 ya uhuhu kakaa miaka 25 tu.

Na kabla hajastaafu alikwisha waambia kuwa ile Katiba ni mbovu, kwa nini Marais 5 waliokuja hawajabadili?
 
Swali, tutatokaje hapa?. Au tumekubali kwamba akili zetu zimedumaa. Nyerere ana hotuba nyingi sana ambazo zimechapishwa. Ukigooogle utazipata kama huna muda wa kwenda maktaba. Isitoshe, alituasa kwamba mazuri yake tuyaendeleze/tuyaboreshe kama taifa lakini mabovu tuachane nayo. Kama tunafanya hivyo tujipongeze.

hatuhitaji nasaha zake kwenye kujikomboa. alikua ni mnafiki sana, wakai huo aliokua akitoa hutuba kama hizo behind scene alikua akiendelea kutenda mabaya mengine.
1995 CCM walishararuliwa vibaya sana kwenye uchguzi mkuu kule zanzibar, ni yeye aliesamamia mpaka matokeo yakapinduliwa.
 
Hii thread ya kiwango cha chini kabisa. Unamlaumu Nyerere kwa kitu gani wakati katika miaka 61 ya uhuhu kakaa miaka 25 tu.

Na kabla hajastaafu alikwisha waambia kuwa ile Katiba ni mbovu, kwa nini Marais 5 waliokuja hawajabadili?
Miaka 25 kwahiyo ni michache? Mandela amekaa almost miaka michache but angalia South Africa
 
hatuhitaji nasaha zake kwenye kujikomboa. alikua ni mnafiki sana, wakai huo aliokua akitoa hutuba kama hizo behind scene alikua akiendelea kutenda mabaya mengine.
1995 CCM walishararuliwa vibaya sana kwenye uchguzi mkuu kule zanzibar, ni yeye aliesamamia mpaka matokeo yakapinduliwa.
Nitamkosoa Nyerere overall period of my life
 
Kuendelea kulaumu haitasidia kitu. Badala yake lawama zitaendelea kusababisha uchungu mioyoni mwetu na kutudumaza akili. Jambo la msingi ni kuangalia wapi tulipoangukia au walipoangukia waliotutangulia,ili tusimame na kuchukua hatua madhubuti za kuzuia tusianguke tena.
 
Miaka 25 kwahiyo ni michache? Mandela amekaa almost miaka michache but angalia South Africa
Duh sijui uwezo wako wa kufikiri ukoje. Pengine unaelekeza lawama zako kwa wrong people. Unaweza Kuta wa kuwalaumu ni wazazi wako kwa DNA dhaifu au kwa kutokupa shule nzuri.

Mfano wa Mandela kukaa miaka 25 jela ni irrelevant na Nyerere kuwa Rais kwa same number of years
 
Duh sijui uwezo wako wa kufikiri ukoje. Pengine unaelekeza lawama zako kwa wrong people. Unaweza Kuta wa kuwalaumu ni wazazi wako kwa DNA dhaifu au kwa kutokupa shule nzuri.

Mfano wa Mandela kukaa miaka 25 jela ni irrelevant na Nyerere kuwa Rais kwa same number of years
Huyu ni wa kupuuza tu. Tunapoteza muda kubishana na mtu asiyejitambua.

Kuna uzi mwingine kaanzisha huko anajifanya yeye ni mwajiriwa wa Usalama wa Taifa. Wanaomkosoa wote anawaporomoshea mvua ya matusi.
 
Kwenye suala la Katiba sijawahi kumuelewa Mwalimu. Aliinanga na kuikumbatia!
 
Sifa za kijinga, anahutubia lisaa na nusu hana hata kipande cha karatasi mkononi, akaonekana ana akili nyingi, kumbe ni upuuzi wa hali ya juu leo utagundua kumbe alikuwa anatuzamisha kwenye bwawa la ujinga/umasikini, na vicheko vyake vya kulazimisha, matokeo yake ndo haya.. Elimu hakuna na hata wale waliosoma wengi wao wajinga.... angalia mataifa makubwa raisi hotuba zote zimetayarishwa na wataalamu husika, hadi vizazi wanazikuta... katunyima elimu ili atutawale matokeo yake kajikuta anatawala "MAFISI" uoga kujipendekeza, unafiki + Umajaliwa vs Precision air...
Ulivyomalizia nimecheka sana, kwamba nani vs nani?
 
Back
Top Bottom