Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

Namlaumu Rais wa awamu ya kwanza

Hii thread ya kiwango cha chini kabisa. Unamlaumu Nyerere kwa kitu gani wakati katika miaka 61 ya uhuhu kakaa miaka 25 tu.

Na kabla hajastaafu alikwisha waambia kuwa ile Katiba ni mbovu, kwa nini Marais 5 waliokuja hawajabadili?
Kwanini yeye hakuibadili alipokuwa Rais na kuwasukumizia wenzie ambao wangefata?
 
Kuishi kwa kumlaumu marehemu ni kupoteza muda! Zaidi ni kudhibitisha kuwa wewe unaye endelea kuishi si bora na huna uwezo wa kuleta mabadiliko zaidi ya alichofanya marehemu!
He served his purpose during his watch. Serve yours during your watch!
 
Back
Top Bottom